Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,268
Uongozi uko katika ngazi nyingi. Wengine walibahatika kuwa viranja shuleni, kapteni wa timu ya chandimu, kiongozi wa msafara, kiongozi wa jumuia ya kanisa nk.
Katika nguvu na mamlaka ya kiongozi ni kuwaambia watu wanyamaze kelele zikisidi. Hii ni moja ya sifa ya kiongozi kuweza kulidhibiti kundi la anaowaongoza.
Kiongozi akikosoa uwezo wa kudhibiti anaowaongoza basi hakuna haja ya kuwa na kiongozi.
Wakati huo huo kiongozi anahitaji hekima ya kujua chanzo cha kelele za kudhibiti. Kiongozi ukiona watu wa kuwanyamzaisha wanakuwa wengi au kelele za kudhibiti zinazidi.
Jiangalie wewe kama kiongozi, ulikosea wapi?
Katika nguvu na mamlaka ya kiongozi ni kuwaambia watu wanyamaze kelele zikisidi. Hii ni moja ya sifa ya kiongozi kuweza kulidhibiti kundi la anaowaongoza.
Kiongozi akikosoa uwezo wa kudhibiti anaowaongoza basi hakuna haja ya kuwa na kiongozi.
Wakati huo huo kiongozi anahitaji hekima ya kujua chanzo cha kelele za kudhibiti. Kiongozi ukiona watu wa kuwanyamzaisha wanakuwa wengi au kelele za kudhibiti zinazidi.
Jiangalie wewe kama kiongozi, ulikosea wapi?