GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,576
Una Mtoto Mdogo wa kama miaka Minne ( 4 ) na Mtu mzima ama Mzazi wako au Babu yako mwenye Umri wa miaka Sabini ( 70 ) ila bahati mbaya wote ni Wagonjwa na wapo Hoi kabisa na Wewe ndiyo unawauguza. Ili Kupunguza Mzigo ulionao wa Kuuguza huku Uchumi wako ukizidi tu ' Kutaradadi / Kupungua ' ungekuwa ni Wewe ungeomba yupi Afe / Afariki Kwanza na nani abakie?
Baada ya Pasaka kupita si vibaya sasa tukaanza ' Kuzipima ' upya ' IQ ' za wana JamiiForums kama bado zipo au na zenyewe zilienda na Sherehe za Pasaka na Likizo ndefu iliyopita ambayo nina uhakika kati ya Watanzania Milioni 55 waliosheherekea vyema na kuifurahia kabisa idadi yao haizidi Watu Elfu Tatu Mia Tatu na Thelasini na Tatu ( 3333 ) ila waliobaki Wote Sikukuu hii ' wamenuna ' au tuseme ' tulinuna ' Kunakotukuka.
Nawasilisha.
Baada ya Pasaka kupita si vibaya sasa tukaanza ' Kuzipima ' upya ' IQ ' za wana JamiiForums kama bado zipo au na zenyewe zilienda na Sherehe za Pasaka na Likizo ndefu iliyopita ambayo nina uhakika kati ya Watanzania Milioni 55 waliosheherekea vyema na kuifurahia kabisa idadi yao haizidi Watu Elfu Tatu Mia Tatu na Thelasini na Tatu ( 3333 ) ila waliobaki Wote Sikukuu hii ' wamenuna ' au tuseme ' tulinuna ' Kunakotukuka.
Nawasilisha.