Amanito
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 259
- 551
Haikuwa ndoto yangu.. Ila nadhani ilikuwa ni peer pressure tu kwa wakati ule!! Maana ilikuwa kama huwezi kuzichapa na mtu inakuwa ngumu kupewa ushirikiano na wadau kitaaniDuuh pole mkuu sasa ndoto yako inaishi au ilikufa kabisa.
Wengi waliojifunza Boxing waliishia kuwa wakabaji tu na waraibu wa madawa ya kulevya.
Mzee wangu nadhani aliona mbali ndo maana hakutaka kabisa nijihusishe na hayo mambo.
Kikubwa alichofanya aliniwekea ratiba ngumu sana kuanzia asubuhi nikienda shule kisha nikitoka shule naenda katika masomo ya ziada (tuition) mpaka jioni saa 12.. Weekend ilikuwa naenda kwa Babu yangu huko nje ya mji kidogo.