AUGUSTINO CHIWINGA
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 220
- 689
Ile kauli ya kwamba mtu yeyote atakayejihusisha au kuungwa mkono na Edward Lowassa basi atapigwa Kofi na MUNGU umezidi kudhihirika leo baada ya mahakama ya juu kumnyanga' nya Ushindi wa Urais Bwana Uhuru Kenyatta.
Lowassa ndiye aliyapanda jukwaani siku ya kufunga kampeni za Uhuru.
Hili ni funzo kwa wale ambao wanamuunga mkono lowassa watambue kwamba MUNGU atawachapa kofi moja takatifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa ndiye aliyapanda jukwaani siku ya kufunga kampeni za Uhuru.
Hili ni funzo kwa wale ambao wanamuunga mkono lowassa watambue kwamba MUNGU atawachapa kofi moja takatifu.
Sent using Jamii Forums mobile app