Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

Kuna familia imegeuka kansa kwa Taifa hili.

Nchi inahitaji kuondokana na watu hawa ambao wameigeuza nchi mali ya familia.

Ipo haja ya kuondokana na laana hii.
 
Serkali hii asidhanie kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho cha kuruhusu ujenzi wa bandari ambayo utaathiri bandari zetu hususani bandari ya Dar es
Utaifanya nini serikali? Kwa katiba hii rais anaweza kuwaua wasukuma wote na bado asishitakiwe popote.
 
Hakuna anayeota hapa! Akili kubwa ndo inaweza kung'amua haya mambo akili kisoda kajadili mapenzi!

Ile miradi mikubwa ya mkakati yaani SGR na Bwana la Nyerere pamoja na ununuzi holela wa Ndege ni mzigo mkubwa sana kwa nchi kiasi kwamba DENI LA TAIFA limepaa kufikia matrillioni ya shillingi!!! Kwa watu wenye busara wazio wabinafsi;wenye mapenzi ya nchi yao na watu wake ,wangetuliza akili na kutopigia debe hiyo bandari ya Bagamoyo na ununuzi wa ndege mpya!!!

Kutekeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo nikutokuwa na uelewa wa uchumi bali kutekekeleza personal interests za watu binafsi!! Mkijenga hiyo Banadari kwa jeuri yenu mjue kuwa mtakuwa mnawaongezea mzigo wananchi kuwa na madeni makubwa kwa CHINA ambayo baadae wanaweza kuja kutumia kuitaifisha miradi hiyo kwa kushindwa kuwalipa; ingawa wakati huo wengi wa wanaoupigia debe mradi huu wanatakuwa wameondoka!!
Tafadhali viongozi msijifikirie nyie tu bali pia muwaonee huruma wajukuu zenu watakaokabwa na wachina kulipa haya madeni. Inapokuja kwenye kulipa madeni yao WACHINA hawana msalie mtume na ndio maana hivi sasa wanatishia kukamata viwanja vya ndege huko Uganda na Zambia!!
 
Wacha tuendelee kupigwa tu, tumeipenda wenyewe CCM, wacha wavune shamba la bibi hili. Tuache wivu.
January mpigaji...
JK mpigaji....
Hangaya mpigaji....
JPM mpigaji.....
 
Nasema hivo kwa sababu zifatazo:
Kwanza mara tu baada ya Rais Samia kuingia alifanya mabadiliko bandarini akidaiwa kuwa Kakoko ni fisadi na akawekwa chini ya uchunguzi ambao mpaka leo hakuna kilichoelezwa kwa undani tofauti na propaganda! Naweza kuamini kuwa Kakoko alitolewa pale kutokana na msimamo wake tayari kuhusu bandari ya BAGAMOYO amabayo alikuwa anaipinga sana!
Pili Rais Samia alifanya mabadiliko katika vizara ya ujenzi kwa kumtoa Chamriho hili nalo ukiliangalia kwa umakini Chamriho amekuwa katibu mkuu wa wizara ya ujenzi kwa mda mrefu kwa hiyo katika majadiriano ya bandari pendwa ya Msoga team BAGAMOYO alihusika kwa sehemu kubwa na ukizingatia tayari bandari hiyo ulikuwa ishaanza kupata mkwamo team ikaoma hata huyu Eng Chamriho anaweza kuwa kikwazo akawekwa pembeni bila sababu zenye mashiko!
Tatu ukitizama mabadiliko ya hivi karibuni ya kumtoa Kalemani bado utagundua mi mwendelezo wa kuwaondoa watu waliokiwa na msimamo wa kizalendo juu ya mikataba mibovu, hapa unaweza kuona Waziri wa sasa Makamba akifanya mikutano mingi na wawekezaji katika sekta ya gesi, kwa upande mwingine licha ya makamba kupingana na ujenzi wa bwawa la Mwl Nyerere lakini bado kupewa uwaziri ili kutimiza mision ambayo tayari ishapangwa na watawala ya awamu hii ya Sita hususani kwenye eneo la Gesi,eneo ambalo awamu ya nne ilituletea janga kubwa kwa mkataba wa ovyo wa gesi ya mtwara ambayo hata wana Mtwara wenyewe hawajui inafaida gani mpaka leo!
Nne mda si mrefu mtaona mabadiliko pia katika wizara ya nishati na madini sio kwa sababu waziri ni mbovu ila kwa sababu kuna vitu haviendi sawa vya kundi fulani la watu! Siku za hivi karibuni Waziri Biteko amekuwa akishutumiwa kwa ufisadi usio bayana akihusishwa pia na upotevu wa tanzanite kule mererani n.k yote hayo ni dalili kuwa hatakiwi kwenye hiyo wizara na bila shaka Waziri Mchengerwa amabaye huko utumishi alidokeza kuhusu uchunguzi juu ya wizara hii!
Hitimisho,Ikumbukwe kuwa nchi hii sio ya CCM na Sio ya team Msoga, haya yote yanayofanyika ya kuja kuwadanganya watanzania hususani kwenye mradi wa bandari ya BAGAMOYO ni hatari kubwa kwa hapo baadae kama yatafanyika bila umakini mkubwa,Serkali hii asidhanie kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho cha kuruhusu ujenzi wa bandari ambayo utaathiri bandari zetu hususani bandari ya Dar es salaam!
kakoko wako hakua na elimu yoyote kuhusu bandari zaidi alikua mhandisi tanroad akiwa chini ya wwizara ya mwendazake
 
Bandari ya bagamoyo ijengwe!! Mbona Chattle Gbadolite Airport ilijengwa ambayo haina faida hata nukta?
 
Kwani hiyo bandari itakayojengwa sio yetu?
Bandari itakuwa mali ya wachina kwa 100%. Na watanzania tutakuwa manamba wa kutumikishwa kazi ndogo ndogo za suluba.
Kifupi wachina wanakwenda kumilikishwa ufukwe karibu wote wa Bagamoyo kwa karne moja. Atakayekuja kulalamika kuwa tulipigwa na kwa upumbavu wetu tukashindwa kupachimbisha ni vitukuu vyako na sio mjukuu wako.

CCM Oyee
 
Nasema hivo kwa sababu zifatazo:
Kwanza mara tu baada ya Rais Samia kuingia alifanya mabadiliko bandarini akidaiwa kuwa Kakoko ni fisadi na akawekwa chini ya uchunguzi ambao mpaka leo hakuna kilichoelezwa kwa undani tofauti na propaganda! Naweza kuamini kuwa Kakoko alitolewa pale kutokana na msimamo wake tayari kuhusu bandari ya BAGAMOYO amabayo alikuwa anaipinga sana!
Pili Rais Samia alifanya mabadiliko katika vizara ya ujenzi kwa kumtoa Chamriho hili nalo ukiliangalia kwa umakini Chamriho amekuwa katibu mkuu wa wizara ya ujenzi kwa mda mrefu kwa hiyo katika majadiriano ya bandari pendwa ya Msoga team BAGAMOYO alihusika kwa sehemu kubwa na ukizingatia tayari bandari hiyo ulikuwa ishaanza kupata mkwamo team ikaoma hata huyu Eng Chamriho anaweza kuwa kikwazo akawekwa pembeni bila sababu zenye mashiko!
Tatu ukitizama mabadiliko ya hivi karibuni ya kumtoa Kalemani bado utagundua mi mwendelezo wa kuwaondoa watu waliokiwa na msimamo wa kizalendo juu ya mikataba mibovu, hapa unaweza kuona Waziri wa sasa Makamba akifanya mikutano mingi na wawekezaji katika sekta ya gesi, kwa upande mwingine licha ya makamba kupingana na ujenzi wa bwawa la Mwl Nyerere lakini bado kupewa uwaziri ili kutimiza mision ambayo tayari ishapangwa na watawala ya awamu hii ya Sita hususani kwenye eneo la Gesi,eneo ambalo awamu ya nne ilituletea janga kubwa kwa mkataba wa ovyo wa gesi ya mtwara ambayo hata wana Mtwara wenyewe hawajui inafaida gani mpaka leo!
Nne mda si mrefu mtaona mabadiliko pia katika wizara ya nishati na madini sio kwa sababu waziri ni mbovu ila kwa sababu kuna vitu haviendi sawa vya kundi fulani la watu! Siku za hivi karibuni Waziri Biteko amekuwa akishutumiwa kwa ufisadi usio bayana akihusishwa pia na upotevu wa tanzanite kule mererani n.k yote hayo ni dalili kuwa hatakiwi kwenye hiyo wizara na bila shaka Waziri Mchengerwa amabaye huko utumishi alidokeza kuhusu uchunguzi juu ya wizara hii!
Hitimisho,Ikumbukwe kuwa nchi hii sio ya CCM na Sio ya team Msoga, haya yote yanayofanyika ya kuja kuwadanganya watanzania hususani kwenye mradi wa bandari ya BAGAMOYO ni hatari kubwa kwa hapo baadae kama yatafanyika bila umakini mkubwa,Serkali hii asidhanie kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho cha kuruhusu ujenzi wa bandari ambayo utaathiri bandari zetu hususani bandari ya Dar es salaam!
Mama kafanya vizuri kufukuza hayo mapuuzi,yalitaka kumkwamisha kwenye ajenda zake za kuleta mabadiliko yenye tija
 
Hahahahaha, kosoeni ila kwa staha..., Mfalme wa chato kukosolewa ndio alikuwa hataki kabisa....Kaeni kwa kutulia mama ana miezi nane(8) tu..
Mlishindwa kutumia hiyo staha kwa magufuli mama yenu ndo mnata tuitumie jibu ni never.
 
Kuna familia imegeuka kansa kwa Taifa hili.

Nchi inahitaji kuondokana na watu hawa ambao wameigeuza nchi mali ya familia.

Ipo haja ya kuondokana na laana hii.
Vipi ulipata NOAH yako , au unaendelea kusikilizia.
 
Na pia siyo ya team mwendazake wala wahutu wala Sukuma Gang

Ila mwendazake peke yake aliyekuwa na mamlaka ya kuwafanya watanzania wote wajinga. Mwendazake angeutoa hadharani huo mkataba mbaya haya yote yasingekuwepo. Yeye angetamani hiyo Bandari ingejengwa Chalttle.

acha uchadema pembeni zungumza kitu cha maana . mbowe ni gaidi
 
Back
Top Bottom