Huku Umoja wa Mataifa UN, Jumuiya ya Ulaya EU, Human Rights Watch HRW yenye makao Geneva U-Swiss n.k na Halafu serikali mpya Marekani ya Mh. Joe Biden na chama cha Democrats wapo mjengoni Jumba Jeupe, mitano tena watakuwa katika wakati mgumu .
Hivi ni kipi unadhani Tanzania ingefanya ingeweza kuzuia korona? Angalia USA pamoja na jitihada zao zote za kupambana na korona mpaka ya takwimu za leo new deaths USA 1800+...Wewe ndiyo una matatizo ya kiakili kwa kufumbia macho habari mbaya ambazo ziko kila kona nchini na kujifanya kila kitu ni shwari kabisa. Watanzania kama wewe ni matatizo makubwa sana nchini. Mpaka viongozi wa dini wameamua kuvaa njuga kuhusu hali halisi nchini lakini mpuuzi wewe huoni hivyo!!!!
Kwani unafikiri una muda basi!? Itakufikia wewe na familia yako soonNYIE NDO CORONA HUWA INAANZA NA NYIE ,MAANA MUNGU HAPENDI WANAFIKI MNAOJIKOMBA KWA JIWE
Kama una akiri uanadhani hiyo kesi ina tija mpaka ulilete humu?Wewe ndiyo una matatizo ya kiakili kwa kufumbia macho habari mbaya ambazo ziko kila kona nchini na kujifanya kila kitu ni shwari kabisa. Watanzania kama wewe ni matatizo makubwa sana nchini. Mpaka viongozi wa dini wameamua kuvaa njuga kuhusu hali halisi nchini lakini mpuuzi wewe huoni hivyo!!!!
Ungejibu hoja zilizoorodheshwa, angalao ungeonekana una uelewa wa kiwango fulani.Tanzania inawaumaa
Yaani wanahangaika kama mtalakiwa asiyetaka kukubali talaka
Wewe ndie umeona umeandika la maana?Acha ufinyu wa akili! Kama huna la maana la kuandika pita kimya kimya.
Imechongewa au ni ukweli?Submission by Human Rights Watch to the UN Human Rights Committee in Advance of its Adoption of the List of Issues for Tanzania’s Fifth Reporting Cycle
This document provides an overview of Human Rights Watch’s observations and questions to Tanzania in advance of the upcoming pre-sessional review of Tanzania by the UN Human Rights Committee (“the Committee”).www.hrw.org
Ni kwel unateseka kwan uongo??Acha ufinyu wa akili! Kama huna la maana la kuandika pita kimya kimya.
Sema UN ya Antonio Gutierrez ni ya hovyo, horribly toothlessSubmission by Human Rights Watch to the UN Human Rights Committee in Advance of its Adoption of the List of Issues for Tanzania’s Fifth Reporting Cycle
This document provides an overview of Human Rights Watch’s observations and questions to Tanzania in advance of the upcoming pre-sessional review of Tanzania by the UN Human Rights Committee (“the Committee”).www.hrw.org
Tupiteje kimya wakati una andika na kuweka humuAcha ufinyu wa akili! Kama huna la maana la kuandika pita kimya kimya.
Eti kitaeleweka, nyie majamaa bhana.Watu wamechoshwa na maovu yake mbali mbali ikiwemo mauaji. Kitaeleweka tu Mkuu.
Kesi zenu za ICC vipi? Maana Mbowe yuko dubaiKimenuka ! huku corona ( Nimonia kali ) kule kesi !
Kuna matunda gani?..kumbuka hata mti ukiwa na nyoka pia upigwa mawe ili nyoka atoke...Upo?
Kuna watu wana akili za nzige sijawahi kuona! Wewe watu wanakufa kama kuku wenye mdondo/kideri unaleta siasa: Stupid idiot!Unateseka sana Kiongozi.
sasa hapo nijibu Dubai au ICC ?Kesi zenu za ICC vipi? Maana Mbowe yuko dubai
Askofu umetoka kuachiwa juzi tu umeanza tena. Unakiuka mashart ya dhamanaSubmission by Human Rights Watch to the UN Human Rights Committee in Advance of its Adoption of the List of Issues for Tanzania’s Fifth Reporting Cycle
This document provides an overview of Human Rights Watch’s observations and questions to Tanzania in advance of the upcoming pre-sessional review of Tanzania by the UN Human Rights Committee (“the Committee”).www.hrw.org