Tumeona kati ya watu 200 million walioambukizwa na kuugua ugonjwa wa COVID-19, ni watu milioni 4 tu wamekufa. Ina maana zaidi ya million 190 wamepona bila kuwa na na specific treatment ya ugonjwa wa UVIKO-19. Ni kwamba miili ya wagonjwa hawa iliweza kujitengenezea specific antibodies against COVID-19.
Swali langu ni je? Watu wa aina hiyo kuna ulazima wa kudungwa sindano ya chanjo ya COVID-19?
Swali langu ni je? Watu wa aina hiyo kuna ulazima wa kudungwa sindano ya chanjo ya COVID-19?