Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,223
- 113,545
Hivyo ndivyo vipimo vya makamanda! Hususan makamanda waliomo humu JF!
Hawa watu siku hizi wamekuwa ni vituko kabisa.
Wengine wameshakariri kiasi wakiona umeandika kitu hata hawajisumbui kusoma na kuelewa [narudia tena, kusoma na kuelewa] ulichokiandika.
Wao wanaenda moja kwa moja kutapika kile walichokikariri na kugongeana Likes tu.
Utawaona wanakuambia ‘we jamaa zamani nilikuwa nakuona una akili lakini tokea ununuliwe na Lumumba umekuwa jinga kabisa’.
Wengine watasema ‘zamani nilikuwa nakuona una busara, una mapointi makali, nilikuwa nakuona ni kichwa kumbe nilikosea’.
Hayo utaambiwa pindi utapokuwa umeandika jambo au mambo wasiyokubaliana nayo.
Ukiandika yanayowafurahisha utamwagiwa sifa kem kem. ‘Huyo ndo Nyani ninayemjua [sijui hata umenijulia wapi]’, ‘ Nyani back to his senses’ na Nyani this, Nyani that!
Hivi kwani mtu hawezi kuwa na akili hata anapotofautiana nanyi nyie makamanda?
Kwenu wenye akili ni wale wanaofikiri, kuwaza, na kuongea kama nyie tu?
Sijawahi kuona watu walio parochial na closed-minded kama hawa makamanda!
Wakati mwingine huwa nadhani labda vitu haviko sawa vichwani mwao.
Hawa watu siku hizi wamekuwa ni vituko kabisa.
Wengine wameshakariri kiasi wakiona umeandika kitu hata hawajisumbui kusoma na kuelewa [narudia tena, kusoma na kuelewa] ulichokiandika.
Wao wanaenda moja kwa moja kutapika kile walichokikariri na kugongeana Likes tu.
Utawaona wanakuambia ‘we jamaa zamani nilikuwa nakuona una akili lakini tokea ununuliwe na Lumumba umekuwa jinga kabisa’.
Wengine watasema ‘zamani nilikuwa nakuona una busara, una mapointi makali, nilikuwa nakuona ni kichwa kumbe nilikosea’.
Hayo utaambiwa pindi utapokuwa umeandika jambo au mambo wasiyokubaliana nayo.
Ukiandika yanayowafurahisha utamwagiwa sifa kem kem. ‘Huyo ndo Nyani ninayemjua [sijui hata umenijulia wapi]’, ‘ Nyani back to his senses’ na Nyani this, Nyani that!
Hivi kwani mtu hawezi kuwa na akili hata anapotofautiana nanyi nyie makamanda?
Kwenu wenye akili ni wale wanaofikiri, kuwaza, na kuongea kama nyie tu?
Sijawahi kuona watu walio parochial na closed-minded kama hawa makamanda!
Wakati mwingine huwa nadhani labda vitu haviko sawa vichwani mwao.