Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mh. Rais akitengua aliyemteua kuna marupu rupu ama kifuta jasho chochote unaambulia ?
Either ukiwa Katibu Mkuu , Waziri , Mkurugenzi wa Shirika la Umma , RC , DC , DED n.k...n.k.
Unatoka kwenye mshahara mnono , marupurupu , ulinzi , usafiri , nyumba ya serikali etc..to Zero public Service !
Wanaambuliaga kifuta machozi ?
Either ukiwa Katibu Mkuu , Waziri , Mkurugenzi wa Shirika la Umma , RC , DC , DED n.k...n.k.
Unatoka kwenye mshahara mnono , marupurupu , ulinzi , usafiri , nyumba ya serikali etc..to Zero public Service !
Wanaambuliaga kifuta machozi ?