Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Mwenye tafsiri ya misemo hii atupe tafadhali.
1. Hasira za uume haziwezi kuvunja uke (Zimbabwe)
2. Hakuna bikira kwenye chumba cha wazazi(Cameroun)
3. Mtoto huchezea matiti kwa mama yake na sio kwa baba yake (Ghana)
4. Kuoa mwanamke mrembo ni sawa na kulima shamba la matunda barabarani (DRC)
5. Mwanamke pekee anayejua wapi mume wake alipo wakati wa usiku ni mjane (Togo)
6. Uume ukisimama hauna aibu (Uganda)
7. Alalaye akiwashwa mkundu huamka ananuka vidole (Kenya)
8. Ukiwaruhusu mbu watagie kwako, kuwabughuzi tu sio kumaliza tatizo (Tanzania)
1. Hasira za uume haziwezi kuvunja uke (Zimbabwe)
2. Hakuna bikira kwenye chumba cha wazazi(Cameroun)
3. Mtoto huchezea matiti kwa mama yake na sio kwa baba yake (Ghana)
4. Kuoa mwanamke mrembo ni sawa na kulima shamba la matunda barabarani (DRC)
5. Mwanamke pekee anayejua wapi mume wake alipo wakati wa usiku ni mjane (Togo)
6. Uume ukisimama hauna aibu (Uganda)
7. Alalaye akiwashwa mkundu huamka ananuka vidole (Kenya)
8. Ukiwaruhusu mbu watagie kwako, kuwabughuzi tu sio kumaliza tatizo (Tanzania)