quimby_joey JF-Expert Member Nov 2, 2010 390 164 Jul 19, 2012 #1 ni kama anamwambia Michuzi, "aisee hakikisha inatoka vizuri"
Billie JF-Expert Member Aug 13, 2011 12,720 19,860 Jul 20, 2012 #3 Mungu tusaidie tuzitawale chuki zetu
First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Jul 20, 2012 #4 Nahisi ka hakuwa busy na mjadala bt alikuwa busy na halo ka beibei wa pembeni yake coz inaonekana wote hawasikilizi mbele!
Nahisi ka hakuwa busy na mjadala bt alikuwa busy na halo ka beibei wa pembeni yake coz inaonekana wote hawasikilizi mbele!
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,758 Jul 20, 2012 #7 Domhome said: JKiiiiiiiiiiiiii!!! Click to expand... Mshamba sana huyu jamaa.
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Jul 20, 2012 #9 Ndallo said: Aisee huyu jamaa ni Bishooo!! Click to expand... sio bishoo msamba sana ...
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Jul 20, 2012 #11 Huo sio uwanja wa michezo kweli?
peri JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,579 1,164 Jul 20, 2012 #12 Billie said: Mungu tusaidie tuzitawale chuki zetu Click to expand... Umenena mkuu.
majonzi Senior Member Sep 25, 2007 176 22 Jul 20, 2012 #13 Tabu ya Rais wetu utoto na ujana wake alikuwa anashinda na Babu yake porini akiwinda wanyama kwa sasa ndio unafunguka anauona ulimwengu ulivyo
Tabu ya Rais wetu utoto na ujana wake alikuwa anashinda na Babu yake porini akiwinda wanyama kwa sasa ndio unafunguka anauona ulimwengu ulivyo
SILENT WHISPER JF-Expert Member Jun 26, 2009 2,209 821 Jul 20, 2012 #14 badala ya kumuangalia wife...yupo busy na binti mwingine..! hahhaa
Jiwe Linaloishi JF-Expert Member May 24, 2008 3,736 2,137 Jul 20, 2012 #15 anafanya booking kabisa.... biashara asubuhi
harakat JF-Expert Member Jul 4, 2011 2,888 1,347 Jul 20, 2012 #16 Naona kama anaomba namba ya cm na id ya fb au amekosea kufanya hivyo?
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Jul 21, 2012 #17 Kamsahau kabis Maiwaifu wake! duh usharo noooma.
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jul 21, 2012 #19 quimby_joey said: View attachment 59283 ni kama anamwambia Michuzi, "aisee hakikisha inatoka vizuri" Click to expand... amedrop bizinesi kadi hapo
quimby_joey said: View attachment 59283 ni kama anamwambia Michuzi, "aisee hakikisha inatoka vizuri" Click to expand... amedrop bizinesi kadi hapo
quimby_joey JF-Expert Member Nov 2, 2010 390 164 Jul 21, 2012 Thread starter #20 Bajabiri said: amedrop bizinesi kadi hapo Click to expand... bila shaka