BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kama kuna dhambi ambayo naiheshimu ni kutunza mtooto wa watu
dhambi hii imeiuma sana hasa kwa watanzania wengi na kinachonifurahisha
nje kupima dna ni cha kawaida lakini watanzania wakifikira kupimana dna wanawaza ndoa zao
wanaajiuliza je ikitokea sio mtoto wangu nitawaeleza nini ndugu zangu...
Je ndoa yangu ndio itaishia mwisho????
Je baada ya hapo mama atakubali kumpeleka mtoto sehemu ya kutunzia watoto wasiokuwa nawazazi
ni maswali mengi wanajiuliza lakini imefikas sasa wakati muafaka watanzania tuamke tuanze kupima watoto wetu......wengi wanakimbilia kupima ukimwi ni nzuri ukweli unabaki ugonjwa mkubwa uliofichwa ndani ni kutunza mtoto wa mtu
mh rais mtaafu alisema ugonjwa huuu yaani ....umefichwa mahali pabaya sana sana na ndio maana tunaisha lakini mkuu ukweli unabaki ako kagonjwa cha kuchapiwa na kuzalishiwa mwisho kutunza watoto si wako kimeshamiri na kinatapakaa kama kaugonjwa cha ukoma
maombi yangu kwa mungu usisubiri mwanao afanane ati na marehemu babayako ama bibi yako kapime dna uishi kwa amani
dhambi hii imeiuma sana hasa kwa watanzania wengi na kinachonifurahisha
nje kupima dna ni cha kawaida lakini watanzania wakifikira kupimana dna wanawaza ndoa zao
wanaajiuliza je ikitokea sio mtoto wangu nitawaeleza nini ndugu zangu...
Je ndoa yangu ndio itaishia mwisho????
Je baada ya hapo mama atakubali kumpeleka mtoto sehemu ya kutunzia watoto wasiokuwa nawazazi
ni maswali mengi wanajiuliza lakini imefikas sasa wakati muafaka watanzania tuamke tuanze kupima watoto wetu......wengi wanakimbilia kupima ukimwi ni nzuri ukweli unabaki ugonjwa mkubwa uliofichwa ndani ni kutunza mtoto wa mtu
mh rais mtaafu alisema ugonjwa huuu yaani ....umefichwa mahali pabaya sana sana na ndio maana tunaisha lakini mkuu ukweli unabaki ako kagonjwa cha kuchapiwa na kuzalishiwa mwisho kutunza watoto si wako kimeshamiri na kinatapakaa kama kaugonjwa cha ukoma
maombi yangu kwa mungu usisubiri mwanao afanane ati na marehemu babayako ama bibi yako kapime dna uishi kwa amani