Ita wa kwetu hivyo uone ukawaida wakeMbona ni pussy neno la kawaida tu? pussy hapo kaitumia kama "Cowardly" (lacking courage)
Kama mtu ukikataa kumsalimia unanyimwa stahiki ambazo ni haki yako, je ukimwita hivyo si utanyimwa pumzi kabisa?Ita wa kwetu hivyo uone ukawaida wake
utapelekwa sehemu 'salama'Kama mtu ukikataa kumsalimia unanyimwa stahiki ambazo ni haki yako, je ukimwita hivyo si utanyimwa pumzi kabisa?
Kuunganisha hili jina na mada husika kunaweza kuwa ni uchochezi,,,,kuwa makini mkuu leo hii siyo ile zamani.teh teh teh......sema tanzania kidogo kuna uvumilivu
Au kunyimwa stahiki zako zilizopo kisheria,hapa hata haki unaigharamia au unanunua kabisa ikiwezekana.Huku kwetu hata ukikataa kupokea mkono wa salamu wa kiongozi ni kosa kubwa sana, unaweza hata kunyongwa
Hauko serious wewe.Mbona ni pussy neno la kawaida tu? pussy hapo kaitumia kama "Cowardly" (lacking courage)
Hauko serious wewe.
Ktk hizo definition zako 3, ipi hapo YA KAWAIDA, mana kule juu umesema ni neno la "kawaida"Labda kwa kukusaidia tu pussy ina maana zifuatazo (According to Macmillan English dictionary for advanced learners, 2006):
1. Informal : a cat (inatumika sana na watoto)
2. Offensive: woman's vagina
3. Offensive: an insulting word for a man who is not strong, brave or determined
Kuunganisha hili jina na mada husika kunaweza kuwa ni uchochezi,,,,kuwa makini mkuu leo hii siyo ile zamani.