Ukitaka tu 'Mswahili' akupende na akuachie 'Umtawale' hata 'Milele' mfanyie mambo haya tu machache

Jamaa anasisitiza kabisa eti faini za madawa ya kulevya zikaboreshe sekta ya Afya.

Yaani tusubiri wauza unga wakamatwe ndio dawa zipatikane hospitali??

Halafu anajiita game changer.

Leo ndio nimegundua huyu jamaa ana fuvu tu lililobeba nywele, Ubongo hakuna kabisa.

Laiti ungeielewa 'Sentensi' yangu ya Kwanza katika hiyo 'Point' wala 'usingesumbuka' nayo hivi ila kwakuwa una 'Upumbavu' wa Kurithi hujaielewa.
 
Tanzania haiishi Leo. Maendeleo yataendelea kuwepo. Sio lazima tuyafanye yote Leo(Kwanza hatuwezi sababu muda hautatosha, tunakufa mapema).

Cha msingi tuwarithishe vizazi vijavyo nafasi na wao wafanye maendeleo maana hata sisi tulirithi.
 
1. Ondoa Wafanyakazi Bandia ( Hewa ) kisha Ajiri sana wale wenye Sifa, Waheshimu, Wasiklize, Wajali na uwe Mtumishi Wao.
2. Acha na Ndege Kumi na Tatu ( 13 ) bali bakia tu na Ndege Tatu ( 3 ) na Pesa zingine wakatie Bima zao za Afya.
3. Achana na Ujenzi wa Bwawa la Kihistoria bali boresha yaliyopo, tutumie Nishati Upepo na Jua ili Pesa isomeshe Watoto bure.
4. Achana na Madaraja Lukuki bali kuwepo tu na Madaraja ya Kimkakati na Pesa iliyopo itumike Kuongezea Mishahara Watu wako.
5. Acha na Ujenzi wa Treni za Umeme bali imarisha zilizopo pamoja na barabara ili Pesa zilizopo ziwasaidie sana Wakulima nchini.
6. Ukusanyaji wa Kodi uendane na hali halisi ya Pato la Mwananchi na Pesa zinazopatikana Tija yake ionekane zaidi Machoni na si katika Karatasi.
7. Pesa zinazopatikana kutoka kwa Wala Rushwa na Wauza Dawa za Kulevya zitumike hasa katika Kuimarisha na Kuboresha Hospitali nchini.

Siyo lazima yote ufanye au uyafanye Wewe kwani hata hii 'USA' tunayoiona leo 'Kihistoria' hadi kuwa hivyo 'ilijipanga' kwa miaka zaidi ya 200 hivi.
Yule mnunua ndege mawazo haya hana kabisa
 
Jamaa anasisitiza kabisa eti faini za madawa ya kulevya zikaboreshe sekta ya Afya.

Yaani tusubiri wauza unga wakamatwe ndio dawa zipatikane hospitali??

Halafu anajiita game changer.

Leo ndio nimegundua huyu jamaa ana fuvu tu lililobeba nywele, Ubongo hakuna kabisa.
Mwaka huu Chadema inapata aibu kubwa iwe jukwaani au kwenye mitandao. Chama chetu kimepwaya Mbowe amekiharibu.
 
Back
Top Bottom