King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,602
- 68,508
Mie nasema kama neno lenyewe lilivo mume wangu nataka kut****...tena linaongeza askhi hata kama hana hamu lazma ije
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
nilikuwa sikuelewagi siku zote, leo nimekupata.View attachment 67800
Nyima Madogo Kumanga
tena hovyo kabisa
Yapo mambo mengi ktk mahusiano,wapenzi huyafanya siri.Mojawapo ni ile hali ya mtu kumhitaji mwenzake ila akatumia neno au ishara ambayo wao wanaielewa na kuwafumba wengine.Mfano baadhi niliowauliza walisema:
1.Juisi tayari
2.Tukavuke mto
3.Leo kikao
4.Albam ipo n.k
Je,wewe unampomhitaji mwenzi wako ktk tendo la ndoa,unasemaje?
Hivi Mods kwa nn huwa hawaondoi threads ambazo hazina tija?? Halafu cha ajabu huwa zinapata wachangiaji wengi sana wakati hazisaidii chochote!!
man lets go inside ,yani bata lako alafu ulifikirie kuulichinja nashika huko kunani nacheki kamabetri imejichaji then unafungulia redio haahahah
u wish what man!!!!!!!!!!!hahhahaha i wish.....
u wish what man!!!!!!!!!!!man lets go inside ,yani bata lako alafu ulifikirie kuulichinja nashika huko kunani nacheki kamabetri imejichaji then unafungulia redio haahahah
Yapo mambo mengi ktk mahusiano,wapenzi huyafanya siri.Mojawapo ni ile hali ya mtu kumhitaji mwenzake ila akatumia neno au ishara ambayo wao wanaielewa na kuwafumba wengine.Mfano baadhi niliowauliza walisema:
1.Juisi tayari
2.Tukavuke mto
3.Leo kikao
4.Albam ipo n.k
Je,wewe unampomhitaji mwenzi wako ktk tendo la ndoa,unasemaje?
huna wako weyei wish ningempata wa kufanya hivyo ulivyosema.... hapo juu