Ukitaka mawazo chanya, soma posts na mada za wapinzani mitandaoni

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Pitia mitandao yote utagundua watu wanojenga hoja za kisera, kisheria, kikatiba, kiuchumi, kijamii na anga nyingine ni makundi haya
  • Wanaharakati
  • Wafuasi wa vyama vya siasa vya upinzani
  • Baadhi ya Wastaafu katika utumishi wa Umma hasa wale ambao hawana bodi Wala chombo Cha kuongoza
  • Baadhi ya viongoz wa dini
  • Wananchi waliotengwa na mnufaiko wa keki ya Taifa.
Watu wanaongea matusi na kuhubiri matumiz ya nguvu kulazimisha waaminike kwamba wanachosema ni sahihi na kweli Ni

-Viongozi wa serikali
-Viongozi na Wafuasi wa chama Tawala
  • viongozi wa upinzani wanufaika na utawala wa chama tawala
  • Wastaafu waliopo ndani ya bodi na mashirika
  • Viongozi wachache wa dini
Ili tuendelee tunahitaji watawala wavae uhusika wa uanaharakati waweze kukosoa nakuacha kuangalia yaliyokwisha fanyika, tunahitaji watu wanaojua kwamba TAIFA ALIJENGWI NA VIONGOZI LINAJENGWA NA WANANCHI. VIONGOZI WAMEAJIRIWA NA WANALIPWA KUSIMAMIA RASILIMALI ZA WANANCHI NA HIVYO HAWAPASWI KWA NAMNA YOYOTE KUPONGEZWA WANAPASWA KUHOJIWA KWANINI HATUFIKI HUKO WALIPOTUAMBIA TUNAKWENDA.
 
Nilichogundua mleta mada nae ni kati ya

  • Kiongozi wa serikali
  • Kiongozi na Wafuasi wa chama Tawala
  • Kiongozi wa upinzani wanufaika na utawala wa chama tawala
  • Mstaafu waliopo ndani ya bodi na mashirika
  • Viongoz wachache wa dini
 
Back
Top Bottom