Wakuu,
Uhacker ni kipaji cha kuzaliwa au ni kitu chakujifunza!?
Kama ni cha kujifunza nisome kozi gani ili niweze kuwa hacker!?
kaka chukulia mfano hapo nyumbani kwenu, unapajua kila kona unajua udhaifu wa nyumba yenu na kila kitu. siku ukifungiwa nje unajua kuna ka mti unapanda unarukia ukuta unaingia ndani, unajua funguo wanaficha wapi, unajua choo kilipo nakila kitu.
ili uwe hacker mzuri inabidi uwe familiar na kila kitu unachotaka kuhack, kama ni software basi ujue lugha mbali mbali kiundani ujue udhaifu wake na nguvu zake then kwako itakua rahisi kuhack.
kwa lugha rahisi kuwa hacker inabidi usome sana hio field unayotaka kuhack, na hakuna shortcut.
Jua kuandika vizuri kiingereza kwanza. Itakusaidia sana.
Nimekuelewa mkuu!
Nawezaje kuupata huo ujuzi 'mtaani'
I try my level best to help him.you're here to insult him or to help him copping the situation ?
you are not serious,
To be honestly that statement killed me. I laughed alot..... Big up bro.your comments gives me eyes cancer.
I always do... But you never do so.If you've nothing to say sometimes it's better to shut up the fucking mouth bro.
hata mtaani unaweza kujifundisha, ila sio kitu cha kujua wiki moja au mwezi itabidi uvumilie miaka wakati unajifunza. kuna youtube, kuna material mengi tu. hakikisha tu unapata internet na computer nzuri. anza kujifunza vitu vidogo na basics za software na website.
Mkuu nawezaje kuwakwepa hackers?