Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Kuna katabia ka hovyo sana hapa jukwaani,kuna kikundi cha wahuni wa bavicha flani ambacho always kinadai kinapigania demokrasia na uhuru wa kujieleza ambao hata viongozi wao nao nyimbo yao ni hiyo hiyo.Demokrasia imejengwa na hali ya kuvumiliana na kuheshimu mawazo ya mengine hata kama yanakuudhi au yanaenda kinyume na mawazo yakeo.Pia kwenye demokrasia intelligent people discuss idea not personality.
Hapa jukwaani watu ambao wanaleta mada ambazo zinapongeza mazuri yanayofanywa na serikali yetu ambayo yanaonekana kwa macho wamekuwa wakishambuliwa kwa lugha isiyofaa na kupewa majina ya hovyo na wengine kufikia kuambiwa wanajipendekeza kwa ajili ya teuzi na kikundi cha wahuni wa bavicha jambo ambalo haliishii jukwaani wanaeneza chuki hadi kwenye maisha ya kawaida kwa sisi watu ambao ni verified member jambo ambalo ni baya linalopaswa kukemewa kwa nguvu zote siasa sio uadui kuna maisha baada ya siasa sisi wote ni watanzania.Jambo hili linaonyesha kuwa tutakuwa na Tanzania ya ubaguzi,chuki,mauaji na ukabila ambao unaweza kupelekea vita ya kama ya kimbari endapo chadema watashika hatamu ya uongozi.
Naomba nikumbushe ccm chini ya magufuli ilishinda kwa zaid ya kura mil 8 licha ya kuwakodisha mchezaji wetu wa ziada,hii inamaanisha kuwa walio wengi wanakubaliana na kuwa na imani na chama cha mapinduzi hivyo bavicha wanapaswa waheshimu mawazo ya wengi
Hapa jukwaani watu ambao wanaleta mada ambazo zinapongeza mazuri yanayofanywa na serikali yetu ambayo yanaonekana kwa macho wamekuwa wakishambuliwa kwa lugha isiyofaa na kupewa majina ya hovyo na wengine kufikia kuambiwa wanajipendekeza kwa ajili ya teuzi na kikundi cha wahuni wa bavicha jambo ambalo haliishii jukwaani wanaeneza chuki hadi kwenye maisha ya kawaida kwa sisi watu ambao ni verified member jambo ambalo ni baya linalopaswa kukemewa kwa nguvu zote siasa sio uadui kuna maisha baada ya siasa sisi wote ni watanzania.Jambo hili linaonyesha kuwa tutakuwa na Tanzania ya ubaguzi,chuki,mauaji na ukabila ambao unaweza kupelekea vita ya kama ya kimbari endapo chadema watashika hatamu ya uongozi.
Naomba nikumbushe ccm chini ya magufuli ilishinda kwa zaid ya kura mil 8 licha ya kuwakodisha mchezaji wetu wa ziada,hii inamaanisha kuwa walio wengi wanakubaliana na kuwa na imani na chama cha mapinduzi hivyo bavicha wanapaswa waheshimu mawazo ya wengi