milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
Nawasalimu wote kila mmoja kwa imani yake, itikadi ya chama chake na kigezo cha umri wake! Itifaki imezingatiwa.
Humu JF kuna watu wa makundi tofautitofauti. Kuna sisi vijana wa below 25 na kuna wale watu wa above 25. Naomba maoni yenu lakini hasa ya wale wenye umri kubwa kwa sababu wameishi maisha ambayo na sisi tutaelekea kuyaishi.
Kila mara nasikia watu wakisema "Ukitaka kufanikiwa katika maisha huna budi kuweka kando mapenzi" (If you real want to succeed in life, never fall in love). Kuna ukweli kiasi gani kwenye hili jambo?
Nauliza hivo kwa sababu nimeanza kupambana na biashara from the scratch, from zero kabisa. Tatizo nina wasichana kadhaa ambao ninashirikiana nao kimapenzi na nina wasiwasi huenda wakarudisha nyuma juhudi zangu.
Wazee wenzangu mlioenda age kidogo katika harakati zenu za kusaka maisha mliweka kando malavidavi?
Share your experiences now!
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu JF kuna watu wa makundi tofautitofauti. Kuna sisi vijana wa below 25 na kuna wale watu wa above 25. Naomba maoni yenu lakini hasa ya wale wenye umri kubwa kwa sababu wameishi maisha ambayo na sisi tutaelekea kuyaishi.
Kila mara nasikia watu wakisema "Ukitaka kufanikiwa katika maisha huna budi kuweka kando mapenzi" (If you real want to succeed in life, never fall in love). Kuna ukweli kiasi gani kwenye hili jambo?
Nauliza hivo kwa sababu nimeanza kupambana na biashara from the scratch, from zero kabisa. Tatizo nina wasichana kadhaa ambao ninashirikiana nao kimapenzi na nina wasiwasi huenda wakarudisha nyuma juhudi zangu.
Wazee wenzangu mlioenda age kidogo katika harakati zenu za kusaka maisha mliweka kando malavidavi?
Share your experiences now!
Sent using Jamii Forums mobile app