Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Product yake ipoje i mean wasanii wake wakoje na ameondoka kuelekea wapi na mafanikio yake ndani ya label yalikuaje msanii gani wa label yenu mwenye hata nyumba yake anaishai zaidi ya diamond kwenye hii record label kubwa africaMarvin zamani na juzi Tiwa Savage kaondoka sasa hivi YBNL ya alamide,Starboy ya Wizkid na label ya David kuna dogo Mayorkun yupo Vizuri sana,Marvin hawapo vizuri kwa sasa.