Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Sasa malalamiko ya nn kama wapo top kaka me hapo ndo napata tabu...nyamazeni pigen kaz huenda hamjatengwa ila kwa kuwa mpo top wenzenu mewaacha mbaaaaaaaalai sana so hamjatengwa ni umbali tu mlowaacha wenzenu NAOMBA MSILALAMIKE JAMANI.
sio wanajifanya wapo top kweli
 
Na kwa levo ya diamond kipind kile dollar 5000 ilikuwa bei ya kishkaj tena sana..
Davido kipindi kile alikuwa sio mkubwa kivile na ndio maana thamani yake ikabaki vile,mfate sasa hivi Davido alafu uone kama management yake kama itachukua hizo dollar elfu 5.Kuna wasanii kibao hapa kila siku wakihojiwa nina nyimbo na Wizkid mara hoo nina nyimbo na Davido lkn mpaka hivi sasa kwa nini huzisikii.
 
Si angetafuta wakubwa kama davido alikuwa mdogo
Davido kipindi kile alikuwa sio mkubwa kivile na ndio maana thamani yake ikabaki vile,mfate sasa hivi Davido alafu uone kama management yake kama itachukua hizo dollar elfu 5.Kuna wasanii kibao hapa kila siku wakihojiwa nina nyimbo na Wizkid mara hoo nina nyimbo na Davido lkn mpaka hivi sasa kwa nini huzisikii.
 
Pole narudia tena pole sana kumbe hata hfuatilli habari za kings music unamfuatilia Simba!

Alikiba alienda Oman akiwa na Ommy dimpoz na kings music crewe yote na ndio waka_shoot hadi kichupa chao
Show kafanya nani?..kwwnda ni suala jingine na kufanya show n suala jingine kilaza ww
 
Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi.
Yaani waswahili hawataki uwazidi. Wanapenda kusujudiwa.
Hii ndio habari iliyopo ,msanii yeyote ukitaka kutenge na media zingine na wasanii wengine jiweke karibu na record label ya WCB.
Dully Sykes amethibitisha Jana wakati anahojiwa na bongo5.,kuwa anachukiwa na wasanii wenzake kisa kuwa karibu na WCB.

Pia Niko karibu na baadhi ya wasanii wanakuambia live bifu ni kubwa chuki ni kubwa xana.
Mfano mzuri juzi hapa kiba aliulizwa kuhusu kukutana jukwaa1 na harmonize lakini cha kushangaza alikimbia camera., jambo la ajabu km ye anashida na diamond ,hamo anahusika VP.

Mapambano makali yakiongozwa na mtu1 anaitwa b12 yanaandiwa kuangalia namna ya kuidondosha WCB kwa vyovyote vile.
Mkakati1 wapo ni kupiga marufuku wasanii wakubwa wasishirikiane nao,pia kuhakisha makampuni hayafanyi udhamini kwa WCB.

Zamani shilole alikuwa close na WCB kapigwa mkwara amejiweka mbali kwa sasa.

Lakini kitu kinachokwamisha ni ili entertainment iende huwezi kuwakwepa WCB,mda ule wa kufanyana km watoto uungu MTU haupo tena.
Ndio maana WCB wana endorsement kubwa kwenye radio na wasanii wao.
Nawashauri wasanii waache chuki haisaidii hata kidogo.
 
Mm nafatilia muziki nashukuru pia unafatilia za king ndo mama ulijua kama walienda na ommy na cheed
Pole narudia tena pole sana kumbe hata hfuatilli habari za kings music unamfuatilia Simba!

Alikiba alienda Oman akiwa na Ommy dimpoz na kings music crewe yote na ndio waka_shoot hadi kichupa chao
 
Diamond hajajiweka mbali na Wasanii wenzake,hivi niambie msanii gani anaweza kukuunganisha na msanii mwengine wa nchi nyingine kama si Diamond ,mnyonge myongeni haki yake mpeni kwanza ww NAKUJUA HUMPENDI DIAMOND NA HUJAWAHI KUMPENDA.
Lakini Mh Temba kishwahi kukiri nyimbo yake na chege,Diamond ndiye aliyewaunganisha na Dj Maphorisa ,hivi nani kashawahi kufanya hivyo kwa wasanii wenzake?Shetta yule Mondi kamuunganisha na KCEE ktk Shikorobo hivi nani kashafanya kama hivi,Madee ana nyimbo yake kafanya na Techno Madee mwenyewe kwa Kinywa chake anamshukuru Diamond.Sasa Diamond angekuwa anajiweka mbali na wasanii hao akina Chege,Madee ,Temba na Shetta hizo collabo wangezipata?.
Mondi kamvimbia nani?au kutaka kutetea maslahi yako ndio kuvimba mbona hata akina Sugu na Jide washawahi kufanya kama Mondi au kafanya Mondi ndio tatizo.
Kijana mziki ni biashara kila mtu ana terms zake,kama hamtaelewana basi msiwekeane vinyongo,dogo Mondi mziki ni biashara yake mwacheni apange terms zake,kwani yy kawekeza hela yake,utake usitake hamna msanii mwenye Exposure kama Diamond,hajasoma lakini kupitia kutembea nchi nyingi kajifunza vitu vingi jinsi mziki unavyoendeshwa ktk nchi nyinginena tatizo washikadau wanataka kuendesha mziki KISHIKAJI na si KIPROFFESSIONAL (kibiashara)zaidi na dogo anachogombana nao mziki wake yy anautizama kama biashara.
mkuu umeongea fact.... Lakini kumbuka anachofanya jamaa nae alifanyiwa kwahiyo ni kama analipa fadhila kupitia kwa wengine...and by the way uliposema hakuna msanii amewahi toa connection umekosoa back in days AY kafanya sana izo mbanga na kama hujui yeye ndo sababu ya featuring ya mond na P square
 
Hao wasanii ni wajinga sana na wasitegemee ianguke WCB ndiyo washike chat. Utasikika ukiwa na muziki mzuri halafu kingine wanaua muziki. Kama wanaugomvi wamalizane na siyo kuharibu Muziki. Diamond anabebwa kwa kuimba muziki mzuri na siyo vinginevyo. Mwisho wa siku muziki utakuwa kama Bongo Movie.
Afrika kutoka kimuziki ni ngumu sana ndiyo maana AKON alijiongeza akaenda USA. Huwa na napenda sana bifu za ulaya za wasanii. Watagombana lakini kwenye issue ya hela wapo pamoja. Uliona bifu la 50 cent na Kanye West.
Hao wasanii na huyo jamaa B12 hawana akili wanafikiri kutumia matako. Mpaka nimewadharau
Tunataka muziki wa Tanzania uvuke boda wenye wanataka kuua. Nyambafu
Wcb inamashabiki wengi Sana hao ndo wanaibeba na mziki Ni mashabiki pia na wao hawajabweteka wanafanya kazi kwelkwel ili wasiwaangushe mashabiki zao.hao wasanii wenye chuki km wanataka wcb ishuke akuna njia nyingine Zaid ya kuwaua mashabiki wao.
 
mkuu umeongea fact.... Lakini kumbuka anachofanya jamaa nae alifanyiwa kwahiyo ni kama analipa fadhila kupitia kwa wengine...and by the way uliposema hakuna msanii amewahi toa connection umekosoa back in days AY kafanya sana izo mbanga na kama hujui yeye ndo sababu ya featuring ya mond na P square
OK najua na asante kwa kunikumbusha ila mimi nimezungumzia kwa sasa nani anaweza kufanya.
 
Kaka this is TZ hata alichofanya davido kwa diamond ilikuwa ushkaji tu davido alikuwa mbaaaaali sana kimafanikio akampa dollar 5000 wakapiga kazi dunia ikamuona bt yy anabaaaaaana anachaguuuuuua kolabo stupid
Diamond anafanya muziki wa biashara na anataka kuuza mpaka nje ya nchi. Hata kama mimi siwezi kufanya na kila msanii ili mradi anapesa ninazozitaka. Huko ndiko kujishusha chini wakati unataka kwenda juu.
Uwe unatumia kichwa kufikiri.
 
Hahahaaaa!! Sina kama kuna lebo kubwa Africa kama WCB.Pia WCB wanawaza kufanya kazi na wasanii wa kimataifa zaidi. WCB empire 4life
Duuu nimeona nisikae kimya kwa hili, kijana fuatilia mziki usifuatilie ushabiki nenda kwenye browser yako andika Mavins Records then urudi kuandika upya
 
Duuu nimeona nisikae kimya kwa hili, kijana fuatilia mziki usifuatilie ushabiki nenda kwenye browser yako andika Mavins Records then urudi kuandika upya
Marvin zamani na juzi Tiwa Savage kaondoka sasa hivi YBNL ya alamide,Starboy ya Wizkid na label ya David kuna dogo Mayorkun yupo Vizuri sana,Marvin hawapo vizuri kwa sasa.
 
Wcb inamashabiki wengi Sana hao ndo wanaibeba na mziki Ni mashabiki pia na wao hawajabweteka wanafanya kazi kwelkwel ili wasiwaangushe mashabiki zao.hao wasanii wenye chuki km wanataka wcb ishuke akuna njia nyingine Zaid ya kuwaua mashabiki wao.
Mimi huwa sina timu ila napenda muziki mzuri. Wasanii kinachowabeba ni kuimba muziki mzuri na siyo vinginevyo. WCB wanaimba muziki mzuri ndiyo maana wapo kwenye chati. Unajua kuna watu wanaongozwa na ushabiki na hisia.
Muziki mzuri ndiyo unaowabeba WCB na si kingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom