Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
Hii ndio habari iliyopo ,msanii yeyote ukitaka kutenge na media zingine na wasanii wengine jiweke karibu na record label ya WCB.
Dully Sykes amethibitisha Jana wakati anahojiwa na bongo5.,kuwa anachukiwa na wasanii wenzake kisa kuwa karibu na WCB.

Pia Niko karibu na baadhi ya wasanii wanakuambia live bifu ni kubwa chuki ni kubwa xana.
Mfano mzuri juzi hapa kiba aliulizwa kuhusu kukutana jukwaa1 na harmonize lakini cha kushangaza alikimbia camera., jambo la ajabu km ye anashida na diamond ,hamo anahusika VP.

Mapambano makali yakiongozwa na mtu1 anaitwa b12 yanaandiwa kuangalia namna ya kuidondosha WCB kwa vyovyote vile.
Mkakati1 wapo ni kupiga marufuku wasanii wakubwa wasishirikiane nao,pia kuhakisha makampuni hayafanyi udhamini kwa WCB.

Zamani shilole alikuwa close na WCB kapigwa mkwara amejiweka mbali kwa sasa.

Lakini kitu kinachokwamisha ni ili entertainment iende huwezi kuwakwepa WCB,mda ule wa kufanyana km watoto uungu MTU haupo tena.
Ndio maana WCB wana endorsement kubwa kwenye radio na wasanii wao.
Nawashauri wasanii waache chuki haisaidii hata kidogo.
 
Hii ndio habari iliyopo ,msanii yeyote ukitaka kutenge na media zingine na wasanii wengine jiweke karibu na record label ya WCB.
Dully Sykes amethibitisha Jana wakati anahojiwa na bongo5.,kuwa anachukiwa na wasanii wenzake kisa kuwa karibu na WCB.

Pia Niko karibu na baadhi ya wasanii wanakuambia live bifu ni kubwa chuki ni kubwa xana.
Mfano mzuri juzi hapa kiba aliulizwa kuhusu kukutana jukwaa1 na harmonize lakini cha kushangaza alikimbia camera., jambo la ajabu km ye anashida na diamond ,hamo anahusika VP.

Mapambano makali yakiongozwa na mtu1 anaitwa b12 yanaandiwa kuangalia namna ya kuidondosha WCB kwa vyovyote vile.
Mkakati1 wapo ni kupiga marufuku wasanii wakubwa wasishirikiane nao,pia kuhakisha makampuni hayafanyi udhamini kwa WCB.

Zamani shilole alikuwa close na WCB kapigwa mkwara amejiweka mbali kwa sasa.

Lakini kitu kinachokwamisha ni ili entertainment iende huwezi kuwakwepa WCB,mda ule wa kufanyana km watoto uungu MTU haupo tena.
Ndio maana WCB wana endorsement kubwa kwenye radio na wasanii wao.
Nawashauri wasanii waache chuki haisaidii hata kidogo.
Mimi namshauri Diamond ikiwezekana anunue hisa RFA Mwanza ili aweze pambana na hao mabwana vizuri.
 
Alafu wanataka mziki wetu uwe sawa na Nigeria,wakati wao wenyewe wasanii hawapendani na wamekubali kugombanishwa na washika dau.Wasanii wa Nigeria wanapendana na kubebana sana,wasanii wakubwa wanafanya collabo na wasanii wachanga na ndio maana Nigeria kila mwaka lazima kuna msanii mmoja ataenda kwenye Level za kimataifa.

Wakati si tukihangaika kumshusha Mondi wenzenu Nigeria wanahangaika kuwatengeneza akina WizKid wapya kama akina Kiss Daniel,Burnboy,Patoranking,Falz,Tekno nk na wamefanikiwa.

Mwisho wa siku kwenye matamasha makubwa wanajazana wao wa Nigeria,sisi tukibaki na Diamond tu sana sana labda na mwaka huu wameongezeka Rayvanny,Harmonize na Nandy,lkn mziki wa bongo umejaa chuki,fitina na wivu usiokuwa na msingi ambao haujengi tasnia ya mziki,mwisho wa siku anayejua kitu fulani anabaki kujua yy tu na mwenye connection anabaki nazo yeye mwenyewe.
 
Alafu wanataka mziki wetu uwe sawa na Nigeria,wakati wao wenyewe wasanii hawapendani na wamekubali kugombanishwa na washika dau.Wasanii wa Nigeria wanapendana na kubebana sana,wasanii wakubwa wanafanya collabo na wasanii wachanga na ndio maana Nigeria kila mwaka lazima kuna msanii mmoja ataenda kwenye Level za kimataifa.

Mwisho wa siku kwenye matamasha makubwa wanajazana wao wa Nigeria,sisi tukibaki na Diamond tu sana sana labda na mwaka huu wameongezeka Rayvanny,Harmonize na Nandy,lkn mziki wa bongo umejaa chuki,fitina na wivu usiokuwa na msingi ambao haujengi tasnia ya mziki,mwisho wa siku anayejua kitu fulani anabaki kujua yy tu na mwenye connection anabaki nazo yeye mwenyewe.
 
Alafu wanataka mziki wetu uwe sawa na Nigeria,wakati wao wenyewe wasanii hawapendani na wamekubali kugombanishwa na washika dau.Wasanii wa Nigeria wanapendana na kubebana sana,wasanii wakubwa wanafanya collabo na wasanii wachanga na ndio maana Nigeria kila mwaka lazima kuna msanii mmoja ataenda kwenye Level za kimataifa.

Wakati si tukihangaika kumshusha Mondi wenzenu Nigeria wanahangaika kuwatengeneza akina WizKid wapya kama akina Kiss Daniel,Burnboy,Patoranking,Falz,Tekno nk na wamefanikiwa.

Mwisho wa siku kwenye matamasha makubwa wanajazana wao wa Nigeria,sisi tukibaki na Diamond tu sana sana labda na mwaka huu wameongezeka Rayvanny,Harmonize na Nandy,lkn mziki wa bongo umejaa chuki,fitina na wivu usiokuwa na msingi ambao haujengi tasnia ya mziki,mwisho wa siku anayejua kitu fulani anabaki kujua yy tu na mwenye connection anabaki nazo yeye mwenyewe.
Waache tu wataishia kufanya show za bure na kubadilisha magari yakuazima
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom