Ukitaka kutawala vizuri Tanzania jenga magereza,imarisha majeshi yako

baluhya M.

Member
Apr 22, 2011
33
79
ukitaka kutawala vizuri Tanzania jenga magereza,imarisha majeshi yako,hubiri jukwaani kwamba watu waheshimu utawala wa sheria,himiza hakuna mtu aliyejuu ya sheria,hakikisha unakataa katakata tuhuma zozote zinazoelekezwa kwako kwamba unaingilia mahakama hata kama wananchi kila kona ya nchi wanakwambia kwamba unaingilia mahakama.

Hakikisha kuwa majaji wa mahakama zote unateua wewe,hakikikisha wakuu wa majeshi unateua wewe,hakikisha spika wa bunge unateua wewe,hakikisha mwanasheria mkuu unateua wewe,hakikisha mwendesha mashitaka unateua wewe..kifupi ukitimiza hivi vigezo vyote hapa Tanzania utatawala hadi mauti yakukute
 
ukitaka kutawala vizuri Tanzania jenga magereza,imarisha majeshi yako,hubiri jukwaani kwamba watu waheshimu utawala wa sheria,himiza hakuna mtu aliyejuu ya sheria,hakikisha unakataa katakata tuhuma zozote zinazoelekezwa kwako kwamba unaingilia mahakama hata kama wananchi kila kona ya nchi wanakwambia kwamba unaingilia mahakama,Hakikisha kuwa majaji wa mahakama zote unateua wewe,hakikikisha wakuu wa majeshi unateua wewe,hakikisha spika wa bunge unateua wewe,hakikisha mwanasheria mkuu unateua wewe,hakikisha mwendesha mashitaka unateua wewe..kifupi ukitimiza hivi vigezo vyote hapa Tanzania utatawala hadi mauti yakukute

Mkuu haya mambo huwa yana mwisho. siku wananchi wakichoka kuvumilia, lazima wakuchomoe madarakani.

Mubarak pale Egypt na El Saleh kule Tunisia walikuwa na hisia hizo hizo wakidhani wao ndo wao mpaka kifo, ila muda ulipowadia, waliondoka tena kwa kudhalilishwa hata mwenyekiti wa kijiji ni afadhali. hata hapa Tanzania upepo uanelekea kubadilika, kamwe hatuwezi kwaacha hawa mafisadi waendelee kujineemesha kwenye migongo yetu. mi naamini ipo siku watanzania wataingia barabarani kudai haki zao wanazodhulumiwa kila kukicha.

Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waliondoe madarakani hili li serikali la ccm magamba/mafisadi/majambazi/wauaji.
 
ukitaka kutawala vizuri Tanzania jenga magereza,imarisha majeshi yako,hubiri jukwaani kwamba watu waheshimu utawala wa sheria,himiza hakuna mtu aliyejuu ya sheria,hakikisha unakataa katakata tuhuma zozote zinazoelekezwa kwako kwamba unaingilia mahakama hata kama wananchi kila kona ya nchi wanakwambia kwamba unaingilia mahakama,Hakikisha kuwa majaji wa mahakama zote unateua wewe,hakikikisha wakuu wa majeshi unateua wewe,hakikisha spika wa bunge unateua wewe,hakikisha mwanasheria mkuu unateua wewe,hakikisha mwendesha mashitaka unateua wewe..kifupi ukitimiza hivi vigezo vyote hapa Tanzania utatawala hadi mauti yakukute

aisee ukimpa kikwete USHAURI huu atakufanya kuwa OFISA WAKE WA USALAMA WA IKULU!!
 
Back
Top Bottom