baluhya M.
Member
- Apr 22, 2011
- 33
- 79
ukitaka kutawala vizuri Tanzania jenga magereza,imarisha majeshi yako,hubiri jukwaani kwamba watu waheshimu utawala wa sheria,himiza hakuna mtu aliyejuu ya sheria,hakikisha unakataa katakata tuhuma zozote zinazoelekezwa kwako kwamba unaingilia mahakama hata kama wananchi kila kona ya nchi wanakwambia kwamba unaingilia mahakama.
Hakikisha kuwa majaji wa mahakama zote unateua wewe,hakikikisha wakuu wa majeshi unateua wewe,hakikisha spika wa bunge unateua wewe,hakikisha mwanasheria mkuu unateua wewe,hakikisha mwendesha mashitaka unateua wewe..kifupi ukitimiza hivi vigezo vyote hapa Tanzania utatawala hadi mauti yakukute
Hakikisha kuwa majaji wa mahakama zote unateua wewe,hakikikisha wakuu wa majeshi unateua wewe,hakikisha spika wa bunge unateua wewe,hakikisha mwanasheria mkuu unateua wewe,hakikisha mwendesha mashitaka unateua wewe..kifupi ukitimiza hivi vigezo vyote hapa Tanzania utatawala hadi mauti yakukute