N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
- Thread starter
- #61
Huyo jamaa sio learner I know him ni mtu mmoja rough rough sana hata uendeshaji wake na ufanyaji kazi wake...niamini, mambo madogo kama hilo la kuegesha gari vizuri linaweza kukutafsiri wewe ni mtu wa aina gani.Makini au mtumtu tuMtu asiye makini ni kama mleta mada anayefanya kila kitu kwa ujumla wakati watu ni tofauti. Mimi nasema huyo aliyepaki gari ni learner na ndio kwanza kaendesha hilo gari aina hiyo hajawahi liendesha.
Ukizoea Renault Kwid kisha ukapewa daladala uipaki huwezi fanya vema kama dereva wa daladala