sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,364
Tanzania inabadilika sana kisiasa, kwa sasa ofisi za mitaa zote watawala ni Chama cha Mapinduzi
Ukitaka kuona umuhimu wa wapinzani tembelea wanakotawala hawa CCM, yaani ofisi zimekuwa adimu sana. Hawakai ofisini wote wanabandika namba za simu tu ukifika uwapigie, ukimpigia anakwambia yupo mbali hapo anatengeneza mazingira utume nauli au akifika ujue katoka mbali kumbe alikuwa kwake na mkewe au hawala yake
Uongozi wa CCM upimwe kuanzia kijiji wanatafunyia nini huku chini
===
Soma hoja zaidi kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Viongozi Serikali za Mitaa
Ukitaka kuona umuhimu wa wapinzani tembelea wanakotawala hawa CCM, yaani ofisi zimekuwa adimu sana. Hawakai ofisini wote wanabandika namba za simu tu ukifika uwapigie, ukimpigia anakwambia yupo mbali hapo anatengeneza mazingira utume nauli au akifika ujue katoka mbali kumbe alikuwa kwake na mkewe au hawala yake
Uongozi wa CCM upimwe kuanzia kijiji wanatafunyia nini huku chini
===
Soma hoja zaidi kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Viongozi Serikali za Mitaa