Ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia!

vukani

JF-Expert Member
Dec 30, 2009
245
165
Naona wanaume wametaharuki kwa hicho kichwa cha habari…………….Jamaniee sina maana hiyo! Namaanisha ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia na sio kwa kumtoa roho………Mweh!

Inaelezwa kwamba kutokana na maumbile mwanaume hujiona ni mkamilifu wa kila jambo, kumbe sio kweli. Ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia, basi mkosoe, hapo ndipo lilipo tatizo. Mwanaume akikosolea hujiona kama amepoteza uanaume wake, na hasa kama anayemkosoa awe ni mwanamke, ndio anakuwa kwishnei kabisa.

Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.

Si kama mwanamke akikosolewa haumii, la hasha, huumia sana, lakini kiwango cha maumivu hutofautiana sana na kile wanachopata wanaume. Wanawake wamezoeaa kukosolewa tangu utotoni, kwa hiyo kwao hiyo sio ishu tena, kwani mfumo dume umewafanya waikubali hali hiyo pasi na hiyari yao.
 
basi nishajua ngao yangu
Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.
yani nikiumia tu wakati wa maakuli mm namkosoa basi ye kwishney....................
asante shoga umenipa ushindi na umeniokoa na mengi hujui tu
nitakutafuta huko maishani na kukupa bonge la zawadi hutaweza kuamini
 
Naona wanaume wametaharuki kwa hicho kichwa cha habari…………….Jamaniee sina maana hiyo! Namaanisha ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia na sio kwa kumtoa roho………Mweh!

Inaelezwa kwamba kutokana na maumbile mwanaume hujiona ni mkamilifu wa kila jambo, kumbe sio kweli. Ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia, basi mkosoe, hapo ndipo lilipo tatizo. Mwanaume akikosolea hujiona kama amepoteza uanaume wake, na hasa kama anayemkosoa awe ni mwanamke, ndio anakuwa kwishnei kabisa.

Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.

Si kama mwanamke akikosolewa haumii, la hasha, huumia sana, lakini kiwango cha maumivu hutofautiana sana na kile wanachopata wanaume. Wanawake wamezoeaa kukosolewa tangu utotoni, kwa hiyo kwao hiyo sio ishu tena, kwani mfumo dume umewafanya waikubali hali hiyo pasi na hiyari yao.

Vukani jamani,kwenye red hapo,ina maana wewe katikati ya malavidavi badala ya kupumulia mdomo huwa unaongea?yaani wakati mzee ndo hoi kajikunja anamalizia kaufundi kote we ndo huwa unamwambia 'lakini baba Kayai hako kativii ulikoleta mbona kakichina?' , mmmmmmhhhh
 
basi nishajua ngao yangu
Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.
yani nikiumia tu wakati wa maakuli mm namkosoa basi ye kwishney....................
asante shoga umenipa ushindi na umeniokoa na mengi hujui tu
nitakutafuta huko maishani na kukupa bonge la zawadi hutaweza kuamini

Halo halooo....... ndiyo shoga..... hawana ubavu hawa, wanajikweza tu............
 
basi nishajua ngao yangu
Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.
yani nikiumia tu wakati wa maakuli mm namkosoa basi ye kwishney....................
asante shoga umenipa ushindi na umeniokoa na mengi hujui tu
nitakutafuta huko maishani na kukupa bonge la zawadi hutaweza kuamini

Danganyaneni!
 
Vukani jamani,kwenye red hapo,ina maana wewe katikati ya malavidavi badala ya kupumulia mdomo huwa unaongea?yaani wakati mzee ndo hoi kajikunja anamalizia kaufundi kote we ndo huwa unamwambia 'lakini baba Kayai hako kativii ulikoleta mbona kakichina?' , mmmmmmhhhh

Sasa kama anafanya kama Bata nisimwambie.... Mweh! Mie nataka kufikishwa kileleni , halafu analeta mapozi................usharobaro wake huko huko..........LOL
 
basi nishajua ngao yangu
Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.
yani nikiumia tu wakati wa maakuli mm namkosoa basi ye kwishney....................
asante shoga umenipa ushindi na umeniokoa na mengi hujui tu
nitakutafuta huko maishani na kukupa bonge la zawadi hutaweza kuamini

utakosoaje wakat inaonekana waz gem imekuelemea? Nisawa tu na kuita watu waje wamtoe m2 aliyekuzid nguvu wakat wa ugomvi et utamuua, wakati inaonyesha waz umezdiwa. By z way hiyo technique haiwez kufua dafu kwa muundo huo..lol
 
Naona wanaume wametaharuki kwa hicho kichwa cha habari…………….Jamaniee sina maana hiyo! Namaanisha ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia na sio kwa kumtoa roho………Mweh!

Inaelezwa kwamba kutokana na maumbile mwanaume hujiona ni mkamilifu wa kila jambo, kumbe sio kweli. Ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia, basi mkosoe, hapo ndipo lilipo tatizo. Mwanaume akikosolea hujiona kama amepoteza uanaume wake, na hasa kama anayemkosoa awe ni mwanamke, ndio anakuwa kwishnei kabisa.

Na kama kukosolewa huko kutafanywa na mwanamke wakiwa kwenye tendo la kujaamiana hapo ngoma italala doro na haitasimama kabisa kutokana tafakari za kukosolewa………….. Yaani wao kukosolewa na mwanamke hukuchukulia kama aina fulani ya udhalilishaji, na kichwani mwao huenda maswali mengi sana ya kuhoji ukamilifu wao.

Si kama mwanamke akikosolewa haumii, la hasha, huumia sana, lakini kiwango cha maumivu hutofautiana sana na kile wanachopata wanaume. Wanawake wamezoeaa kukosolewa tangu utotoni, kwa hiyo kwao hiyo sio ishu tena, kwani mfumo dume umewafanya waikubali hali hiyo pasi na hiyari yao.


[h=2]The Following User Says Thank You to vukani For This Useful Post:[/h]
AshaDii (Today)​
 
Back
Top Bottom