Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,674
- 1,685
Sidhani kama ukienda Uingereza utakuta radio zao zina majina ya Kiswahili lakini sisi kwa kuanzia hawa Clouds FM, Capital FM, Radio Free Africa, Voice of Tabora na kadhalika, sasa ukitaka kudhihirisha kuwa kiswahili kina mapungufu mengi wewe sikiliza hiyo 'Clouds FM' vipindi vyao vya 'Sports' mtangazaji wao Jeffrea.
Huyu kwa ukweli anaudhi udhi udhi mno.
Huyu kwa ukweli anaudhi udhi udhi mno.