Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
Kwa hili la kukibananga kiswahili kwa kweli waandishi wa habari hasa wa redio na magazeti wanaongoza, yaani siku hizi imekuwa jambo la kawaida kabisa kusikia mwandishi wa habari akisema " nitacheza nyimbo ya msanii fulani ( anataja jina), huku akiwa amekusudia kucheza wimbo mmoja tu na wala sio nyimbo za msanii huyo!