Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,272
- 7,360
Habarini wakuu,
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.
Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.
Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.
Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.
Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote wanapokuwa makazini.
Vitengo kama Customer Care & Service hawa utawakuta wanachati muda wa kazi na ikifika lunch hata kama haendi kula ni mwepesi kukujibu niko lunch.
Vitengo kama TRA, Uhamiaji benki, mitandao ya simu n.k wanapenda kusingizia kuwa system iko slow huku wakiendelea kuchat.
Lakini muda wa lunch hukuti mtu ofisini.
Anyway hawa ndo aina ya wafanyakazi tulionao katika kulijenga taifa.