Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanabodi heshima kwenu,
Wanasiasa wa tanzania wameingilia kazi ya watalamu hasa elimu yetu.
Shule zimeanzishwa bila kukidhi vigezo vya kuitwa shule.
Sio hilo tu wameshindwa kutambua kiswahili kuwa lugha ya kufundishia ngazi zote kwani watalamu wa china hawajui kiswahili wanafanyaje kazi tanzania?
Wameamua kukumbatia lugha ya wakoloni na mfumo wa kikoloni na lugha ya kiingereza bado watanzania wasomi wameshindwa kuimudu yamkini nawe ni mmojawapo.
Kama unabisha elimu yako si ya kichina kwa maana chini ya kiwango kutokana na siasa kutokuwa safi
Jipime kwa kujibu hili swali:
Badili sentensi hii kuwa ya kiingereza au iandike kwa lugha ya kiingereza.
"Baba hivi, Mimi ni mtoto wa ngapi katika uzao wako?
ahsanteni kwa majibu
Nitoe wito kukipigania kiswahili kwenye katiba mpya kiwe lugha rasmi ya kufundishia ngazi zote
mods naomba muiache jukwaa hili la siasa tupime nilichojadili
Wanasiasa wa tanzania wameingilia kazi ya watalamu hasa elimu yetu.
Shule zimeanzishwa bila kukidhi vigezo vya kuitwa shule.
Sio hilo tu wameshindwa kutambua kiswahili kuwa lugha ya kufundishia ngazi zote kwani watalamu wa china hawajui kiswahili wanafanyaje kazi tanzania?
Wameamua kukumbatia lugha ya wakoloni na mfumo wa kikoloni na lugha ya kiingereza bado watanzania wasomi wameshindwa kuimudu yamkini nawe ni mmojawapo.
Kama unabisha elimu yako si ya kichina kwa maana chini ya kiwango kutokana na siasa kutokuwa safi
Jipime kwa kujibu hili swali:
Badili sentensi hii kuwa ya kiingereza au iandike kwa lugha ya kiingereza.
"Baba hivi, Mimi ni mtoto wa ngapi katika uzao wako?
ahsanteni kwa majibu
Nitoe wito kukipigania kiswahili kwenye katiba mpya kiwe lugha rasmi ya kufundishia ngazi zote
mods naomba muiache jukwaa hili la siasa tupime nilichojadili