Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,320
- 5,941
Je kama nimempa hicho kitita kilichokonda akamtumia jamaa yake wa kando, nimpige chini au nimpige na Mawe nauliza?
Hawa ndo wale wanaokwenda kwa mshikaji bila hata fungu la mchicha mkononi, akijua weekend nzima watakua wanakula hotelini, wakiachwa wanadai alikua anachezewa.Kwa hiyo mkuu,huwa unatumia zote bila kurudisha fadhila kwa aliyekupatia?
Umenikumbusha kuna uzi huku watu wanaelezea namna walinunua vitu baadae wakajuta.Anaongelea maisha ya uswazi. Hiyo 50K ukiingia nayo sagurasagura unarudi home na begi limejaa.
Ukienda nayo clothing store yakueleweka ningumu kupata clothing items zaidi ya mbili.
Kuongelea kuhusu mimi ni hivi, nimeshasahau hata ni lini mara ya mwisho nimenunua kitu changu. Huwa ananinunulia yeye kwa hela yake na mimi namnunulia kwa hela yangu.Kwa hiyo mkuu,huwa unatumia zote bila kurudisha fadhila kwa aliyekupatia?
Hahaha dah. Bora hata hizo zimebadilika rangi nyingine ukifua tu zinagauka kuwa kanzu.Umenikumbusha kuna uzi huku watu wanaelezea namna walinunua vitu baadae wakajuta.
Kuna mmoja alisema alinunua Tshirts tatu kwa mama anayetembeza. Basi bei ilikuwa cheap compared na vile hizo Tshirts zilikuwa zinaonekana, akajua amewin.
Basi kufika nyumbani kigiza giza akazifua, asubuhi anaamka haoni Tshirts zake. Kumbe Tshirts zake zipo lakini zilibadilika rangi baada ya kufuliwa zikawa rangi nyingine tofauti kabisa.
Ndio matokeo ya kwenye kusagura
Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako ana sifa ya kuitwa mke/mume,fanya yafuatayo; Kama ulikuwa na wapenzi wengi mfano watano (5),chukua pesa kidogo labda 250,000,na kila mmoja mpatie 50,000 akaifanyie matumizi anayotaka.Baada ya hapo kila mmoja akupe mrejesho kwa ile fedha ameifanyia nini. Ikiwa watakupa mrejesho kama ufuatao....chukua hizi hatua:-
- Ametumia fedha yote kujiremba/matumizi yake binafsi.......piga chini
- Amesaidia ndugu zake/marafiki zake................piga chini
- Ametoa sadaka au kawapa watu wenye uhitaji................jaribu kumfikiria tena
- Ametumia kwenye pombe na fedha kuisha.............piga chini
- Ametumia kwenye mahitaji yake kiasi na nyingine akatumia kwenye mahitaji yako. mfano labda akakuletea shati,suruali n.k..................huyo weka ndani/oa (hana ubinafsi yuko tayari muwe mwili mmoja).
Hufai kuwekwa ndani, Zero kabisaMie naenda kusuka hela yote na inaweza kupelea nikakuomba uniongezee, nakuomba na ya wine na baadae nakuambia njoo unipeleke home au nitumie tena hela ya usafiri, yaani ndo utaniacha siku hiyohiyo ukinitega, yaani unipe hela kiduchu hivyo halafu utegemee mrejesho wa matumizi, khaaa, nitafanya kwa mume wangu tu, hata hivyo hela ya kuhongwa siwezi toa sadaka wala kumsaidia mhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni wife material, km hujaolewa basi wanaume ni mazuzu.Wewe sio wife material. Na ole wako hiyo hela ununulie hata lotion
Kweli kabisa aisee! Huwa najilaumu sana kwa uzembe hasa kwa wakati huu ninapohitaji kuoa. Maana ni mzuri wa umbo, sura hadi tabia!Ulimchelewesha mkuu
Hahaha kumbe eeehWewe ni wife material, km hujaolewa basi wanaume ni mazuzu.
ha ha ha hata kama chura ipo haitasaidia