Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Ni kirundu chekelile
yesu ruwaa
Ni kirundu chekelile
Mleta mada umekurupuka sana ni utumbo pumba tupu
ur empty upstairs
Kwa hiyo nyie magamba mnataka wananchi watulie ili muendelee kuwaibia? Hivi huko Mtwara kuna wabunge wangapi wa CDM???!!!!!
Katika hali isiyo ya kawaida kabisa, leo gazeti la TANZANIA DAIMA limekuwa lipole sna kwenye ukurasa wake wa mbele huku likiandika JK atoa onyo kali. Upole huu wa gazeti la CHADEMA ni dhahiri kuwa wanajua walichokifanya n sasa wanasikiliizia moto unavyowaka.
CHADEMA sijui kama wanafurahia kusikia watu wamekufa, nyumba zimechomwa na hasara nyingi kutokana na vurugu hizo.
CCM ndio wameharibu nchi, huku Mtwara tangu uhuru barabara haijakamilika, na lazima tuiondoe madarakani 2015
Katika hali isiyo ya kawaida kabisa, leo gazeti la TANZANIA DAIMA limekuwa lipole sna kwenye ukurasa wake wa mbele huku likiandika JK atoa onyo kali. Upole huu wa gazeti la CHADEMA ni dhahiri kuwa wanajua walichokifanya n sasa wanasikiliizia moto unavyowaka.
CHADEMA sijui kama wanafurahia kusikia watu wamekufa, nyumba zimechomwa na hasara nyingi kutokana na vurugu hizo.
si walismea nchi haitatawalika sasa wanatekeleza kwa vitendo ...