suphian mkanka
Member
- Aug 12, 2012
- 5
- 0
those hu marked your admted congrants
Jamani ukiwa admitted ni kweli umechaguliwa?
Lakini hamna nikweli,kwa sababu walisewa 14/8.Wangetoa majina ya watu waliokosa vyuo au watawajulisha kwny akaunt zao kumbe ndo hivi wametujulisha
those hu marked your admted congrants
true bt mwaka jana watu walifanyiwa mchezo mchafu waliwekewa hivyo but udsm walirudisha majina yao so wakatakiwa kufanya 2nd and 3rd round of application. so not 100% uhakikahako ka ujumbe ndo tayar wameshatoa majina ya waliokosa na waliopata usikae ukingoja majina yatoke jumla,ndo maana ya kila m2 kuwa na account yake.
Mwaka huu tutakoma na hiyo mi-thread ya tcu! Mpk posts zitoke tutakuwa tushakoma maana kila sekunde watu wanapost masredi ya tcu humu ndani!!!
those hu marked your admted congrants
hawa ndo wale walioingia jf baada ya kuambiwa matokeo ya ud yapo huku. Adhari zake ndo hizi
Listen brother inaweza ikawa kweli sababu sasa hivi nimepost majina ya walochaguliwa Tumaini University Iringa SO Specify chuo gani umetupwa maybe kama na data nitakuambiaLeo kuna watu wamenipigia simu kutoka katika vyuo nilivyochagua wanasema nimechaguliwa kujiunga na hicho chuo is it posible wakuu?