Ukitaka kujenga nyumba usimchukue fundi...

Salehe Ndanda

Member
Jun 15, 2009
41
3
Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO
 
Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO

We jamaaa wewe. hukufundishwa kutumia nukta? hata kama unaandika mavitu yasioeleweka.
 
Ha ha! Wala sijaelewa jamaa analenga nini. Draughts na football tu ndio nimeelewa
 
Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO

You need to see your doctor, immediately!
 
Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO


Wewe umevuta Bhangi nini? umeweka madudu gani wewe Salehe Ndanda hebu ondoa upesi hii post maana unawafanya watu wote JF ni wavuta bhangi
 
Halafu mnaishia kulalamika eti kwa nini watoto wa kiislam wanafeli.

Hebu angalieni huyu ni mwenzetu, anajua ku-log in, anajua ku-type lakini hajui profession ya kompyuta.

Tanzania bila ... inawezekana!
 
ahhh!!!!!!!!! wewe ume kuwa loose memory? neda Hospital haraka kwani JF watu wapo Inteligent sio hivyo au Unga huo maana pale kwa macheni hukosi sasa sijui tupige viboko kwanza au...........................
 
Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO

Salehe Ndanda,
Mbona mada yako haieleweki? Jaribu kuipanga vizuri ili wadau waweze kuielewa na kuchangia.
 
Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO
Elimu ya chuo
 
Back
Top Bottom