Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Ukitaka kuhama dunia kwa muda, we usipate shida. Ingia Facebook. Au ukitaka kurudi utotoni pia, hakuna gharama we nenda tu. Ukitaka sifa pia, wala usipate shida. We nenda huko. Ukitaka kuwajua watu wazima wenye akili za kitoto we tumbukia tu huko. Hata yanapotokea matukio makubwa ambayo watu wanatakiwa wajulishwe mapema. Huko huwa wa mwisho kupokea taarifa. Hakuna ladha, ni sawa na chapati ya unga wa muhogo. Mambo yote JF, BIG UP JF