1. Boresha elimu na pia toa elimu bure bila michango kuanzia chekechekea mpaka chuo kikuu.
2. Fanyeni mabadiliko na kutafutaa masoko ya ndani na kimataifa kwa wakulima na wavuvi.
3. Toa mikopo kwa wanafunzi wa chuo kikuuu kwa wakati na siyo kuwanyima mikopo au kuwapatia pungufu.
4. Boresha sekta ya Afya ili Watanzania wapate matibabu bora nchini ikiwemo viongozi wetu badala ya kwenda kutibiwa nje ya nchi. Mpaka hapo inaonesha jinsi gani viongozi wetu wenyewe walivyo hawaziamini huduma na hospitali zetu.
5. Toa ajira kwa kushirikiana na sekta binafisi hata millioni moja kwa mwaka au tengeneza mazingira rafiki kwa vijana wanaotoka vyuo vikuu waweze kupata mikopo rahisi na kujiajiri wenyewe.
6. Tengeneza mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wenye biashara zao tayari na wafanyabiashara ambao wanataka kuwekeza nchini.
7. Ongezea wafanyakazi mishahara ili waendane na mahitaji. Jiulize mtu kama mwalimu analipwa 350,000 kwa mwezi kabla ya kodi na akikatwa inabaki kama 270,000, hapo sasa jiulize hajalipa nyumba wala hajanunua nyanya kwa bei ya sasa Dar es salaam ambapo nyanya moja ni 400.
Hajalipa nauli, hajalipa umeme, pia hajalipa maji, hajanunua mafuta ya kupakaa au ya kula. Na hao walimu nimtolea mfano. Pia kuna manesi, nao hawana tofauti na walimu upande wa mishahara na maisha yao.
8. Boresha miundombinu nchi nzima na siyo kikanda au upande ambao ni wenu. Huo unaitwa ukabila, pia umimi.
9. Wape watu uhuru wa mawazo na kutoa maoni yao bila kuwasumbua au kutishia maisha yao.
Ukifanya hivyo vyote utafanikiwa kufuta upinzani usoni, lakini siyo mioyoni mwa watu maana mnachokifanya sio kwamba mnakomoa wapinzani, bali mnakomoa maisha ya Watanzania.
Hata mauaji ya kimbari Rwanda yalianza kwasababu ya wanasiasa uchwara na ambao walikuwa wanaona kuwa wenzao hawafai bali wao kundi dogo ndiyo bora. Hapo ndipo shida huwa zinaanzia.
Kingine, tujifundishe kupitia uchumi wa Zimbabwe umeathirika kwasababu ya mtu mmoja kujiona yeye ni Bora kuliko wengine na jamii ya kimataifa haikuwaacha ikawachapa vikwazo Tanzania tumenyimwa tu mkopo kutoka WB tumeanza kulia mpaka sasa kuna nchi zaidi ya kumi na mbili ambazo zimepunguza misaada kwa Tanzania ndio maana mnaona Mambo yanaenda ovyo ovyo.
Nina maswali mawili:
1. Je, Watanzania mnatakaa tuwe na maisha kama ya watu wa Zimbabwe wanayoishi Sasa hivi?
2. Au munataka yatokee kama yalitokea Rwanda, Sierra Leone, Liberia, Burundi, Uganda, Kenya 2008, au Ivory Coast, Watanzania au wanaCCM mnaopengeza kila kitu mnataka hayo yatokee?
Mzee Mangula, Dr Bashiru, Polepole, kiongozi mkuu wa malaika, Musiba, na Makonda msisahau kuhusu kifo cha Samuel Doe.
2. Fanyeni mabadiliko na kutafutaa masoko ya ndani na kimataifa kwa wakulima na wavuvi.
3. Toa mikopo kwa wanafunzi wa chuo kikuuu kwa wakati na siyo kuwanyima mikopo au kuwapatia pungufu.
4. Boresha sekta ya Afya ili Watanzania wapate matibabu bora nchini ikiwemo viongozi wetu badala ya kwenda kutibiwa nje ya nchi. Mpaka hapo inaonesha jinsi gani viongozi wetu wenyewe walivyo hawaziamini huduma na hospitali zetu.
5. Toa ajira kwa kushirikiana na sekta binafisi hata millioni moja kwa mwaka au tengeneza mazingira rafiki kwa vijana wanaotoka vyuo vikuu waweze kupata mikopo rahisi na kujiajiri wenyewe.
6. Tengeneza mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wenye biashara zao tayari na wafanyabiashara ambao wanataka kuwekeza nchini.
7. Ongezea wafanyakazi mishahara ili waendane na mahitaji. Jiulize mtu kama mwalimu analipwa 350,000 kwa mwezi kabla ya kodi na akikatwa inabaki kama 270,000, hapo sasa jiulize hajalipa nyumba wala hajanunua nyanya kwa bei ya sasa Dar es salaam ambapo nyanya moja ni 400.
Hajalipa nauli, hajalipa umeme, pia hajalipa maji, hajanunua mafuta ya kupakaa au ya kula. Na hao walimu nimtolea mfano. Pia kuna manesi, nao hawana tofauti na walimu upande wa mishahara na maisha yao.
8. Boresha miundombinu nchi nzima na siyo kikanda au upande ambao ni wenu. Huo unaitwa ukabila, pia umimi.
9. Wape watu uhuru wa mawazo na kutoa maoni yao bila kuwasumbua au kutishia maisha yao.
Ukifanya hivyo vyote utafanikiwa kufuta upinzani usoni, lakini siyo mioyoni mwa watu maana mnachokifanya sio kwamba mnakomoa wapinzani, bali mnakomoa maisha ya Watanzania.
Hata mauaji ya kimbari Rwanda yalianza kwasababu ya wanasiasa uchwara na ambao walikuwa wanaona kuwa wenzao hawafai bali wao kundi dogo ndiyo bora. Hapo ndipo shida huwa zinaanzia.
Kingine, tujifundishe kupitia uchumi wa Zimbabwe umeathirika kwasababu ya mtu mmoja kujiona yeye ni Bora kuliko wengine na jamii ya kimataifa haikuwaacha ikawachapa vikwazo Tanzania tumenyimwa tu mkopo kutoka WB tumeanza kulia mpaka sasa kuna nchi zaidi ya kumi na mbili ambazo zimepunguza misaada kwa Tanzania ndio maana mnaona Mambo yanaenda ovyo ovyo.
Nina maswali mawili:
1. Je, Watanzania mnatakaa tuwe na maisha kama ya watu wa Zimbabwe wanayoishi Sasa hivi?
2. Au munataka yatokee kama yalitokea Rwanda, Sierra Leone, Liberia, Burundi, Uganda, Kenya 2008, au Ivory Coast, Watanzania au wanaCCM mnaopengeza kila kitu mnataka hayo yatokee?
Mzee Mangula, Dr Bashiru, Polepole, kiongozi mkuu wa malaika, Musiba, na Makonda msisahau kuhusu kifo cha Samuel Doe.