MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,391
- 2,125
Baba mkwe samahani mwanangu shemeji yako mdogo anasumbuliwa na vichomi na kifua kinamsumbua sana yaani anakonda tu,niliongea na baba yake akasema nijitahidi nitafute nauli nimpeleke huko(kwa baba mkwe)maana walishaachana"- akajaribu na mitishamba baba yenu(baba mkwe wangu)amesema hivyo.Nimeparangana kila namna lakini nimeshindwa kabisa naomba unisaidie mwanangu samahani sina namna.
Mimi:Mama ni kama shilingi ngapi inahitajika ya nauli?
Mama mkwe:ni elfu 65,000/= tu hela ya kurudi na wao wataparangana huko nikishafika.
Kumbuka hii ni January mambo mengi wanafunzi, kodi za ofisi na mahitaji ya shule mfukoni nilikuwa na 15,000/=tu kwa ajili ya mboga kifamilia nikajisemea moyoni "angekuwa ni mama yangu mzazi ningemshauri huu mpango austishe ili nimatafutie hela taratibu au anye alternative nyingine, lakini yule ni mkwe pengine ataona nimemyima tu,nikapambana kesho yake nikamuagiza wife akampelekea hiyo hela,leo wiki ya pili mama mkwe yupo tu,na dogo (shemeji yangu)yupo tu anaenda shule kila siku,hazipiti siku mbili kaagizwa dogo kuijia chochote, mara mboga,unga,mkaa
Dada mama anakuita,dada mama anasema hivi.....
Dada mama yule pale amesema uende,
Dada (mke wangu) ameshaanza kuchoka kuna wakati anawajibu vibaya mpaka naona aibu,kila siku wanakuja na shida haziwezi kupita siku mbili mama hajamuita binti yake,(tupo mtaa mmoja)
Asipoenda kwa mama yake asubuhi, basi jioni atasubiri haupo ataenda,asipoenda hiyo siku basi kesho bado mmelala asubuhi asubuhi wadogo zake watagonga mlango wameagizwa na mama.
Nina miezi mitatu tu kwenye ndoa hii mpya lakini nahisi ni kama miaka mitano,kumsaidia mama au ndugu yeyote ni swala lisiloepukika ila kwa upande wangu naona imevuka viwango vya kawaida,hapa sijaoa bali nimeachiwa familia,kwa sasa nina familia mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi:Mama ni kama shilingi ngapi inahitajika ya nauli?
Mama mkwe:ni elfu 65,000/= tu hela ya kurudi na wao wataparangana huko nikishafika.
Kumbuka hii ni January mambo mengi wanafunzi, kodi za ofisi na mahitaji ya shule mfukoni nilikuwa na 15,000/=tu kwa ajili ya mboga kifamilia nikajisemea moyoni "angekuwa ni mama yangu mzazi ningemshauri huu mpango austishe ili nimatafutie hela taratibu au anye alternative nyingine, lakini yule ni mkwe pengine ataona nimemyima tu,nikapambana kesho yake nikamuagiza wife akampelekea hiyo hela,leo wiki ya pili mama mkwe yupo tu,na dogo (shemeji yangu)yupo tu anaenda shule kila siku,hazipiti siku mbili kaagizwa dogo kuijia chochote, mara mboga,unga,mkaa
Dada mama anakuita,dada mama anasema hivi.....
Dada mama yule pale amesema uende,
Dada (mke wangu) ameshaanza kuchoka kuna wakati anawajibu vibaya mpaka naona aibu,kila siku wanakuja na shida haziwezi kupita siku mbili mama hajamuita binti yake,(tupo mtaa mmoja)
Asipoenda kwa mama yake asubuhi, basi jioni atasubiri haupo ataenda,asipoenda hiyo siku basi kesho bado mmelala asubuhi asubuhi wadogo zake watagonga mlango wameagizwa na mama.
Nina miezi mitatu tu kwenye ndoa hii mpya lakini nahisi ni kama miaka mitano,kumsaidia mama au ndugu yeyote ni swala lisiloepukika ila kwa upande wangu naona imevuka viwango vya kawaida,hapa sijaoa bali nimeachiwa familia,kwa sasa nina familia mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app