Ukitaka kufilisika oa mke kutoka familia maskini

Baba mkwe samahani mwanangu shemeji yako mdogo anasumbuliwa na vichomi na kifua kinamsumbua sana yaani anakonda tu,niliongea na baba yake akasema nijitahidi nitafute nauli nimpeleke huko(kwa baba mkwe)maana walishaachana"- akajaribu na mitishamba baba yenu(baba mkwe wangu)amesema hivyo.Nimeparangana kila namna lakini nimeshindwa kabisa naomba unisaidie mwanangu samahani sina namna.

Mimi:Mama ni kama shilingi ngapi inahitajika ya nauli?
Mama mkwe:ni elfu 65,000/= tu hela ya kurudi na wao wataparangana huko nikishafika.

Kumbuka hii ni January mambo mengi wanafunzi, kodi za ofisi na mahitaji ya shule mfukoni nilikuwa na 15,000/=tu kwa ajili ya mboga kifamilia nikajisemea moyoni "angekuwa ni mama yangu mzazi ningemshauri huu mpango austishe ili nimatafutie hela taratibu au anye alternative nyingine, lakini yule ni mkwe pengine ataona nimemyima tu,nikapambana kesho yake nikamuagiza wife akampelekea hiyo hela,leo wiki ya pili mama mkwe yupo tu,na dogo (shemeji yangu)yupo tu anaenda shule kila siku,hazipiti siku mbili kaagizwa dogo kuijia chochote, mara mboga,unga,mkaa
Dada mama anakuita,dada mama anasema hivi.....

Dada mama yule pale amesema uende,
Dada (mke wangu) ameshaanza kuchoka kuna wakati anawajibu vibaya mpaka naona aibu,kila siku wanakuja na shida haziwezi kupita siku mbili mama hajamuita binti yake,(tupo mtaa mmoja)
Asipoenda kwa mama yake asubuhi, basi jioni atasubiri haupo ataenda,asipoenda hiyo siku basi kesho bado mmelala asubuhi asubuhi wadogo zake watagonga mlango wameagizwa na mama.


Nina miezi mitatu tu kwenye ndoa hii mpya lakini nahisi ni kama miaka mitano,kumsaidia mama au ndugu yeyote ni swala lisiloepukika ila kwa upande wangu naona imevuka viwango vya kawaida,hapa sijaoa bali nimeachiwa familia,kwa sasa nina familia mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko alipata mke mmakonde....yan huyo siku 2 tu kaenda kwa mamake na mtot yupo huko....!!mara utackia wana safari ya mtwara...mara kutembelea ndugu...yn anko alikuwa anatuma elf 20 kila baada ya siku 2

Akaniomba ushaur nkampa makavu kuwa wamemuona boya....so ndo maana wanafanya watakayo

Nkamshauri apunguze kiasi anachowatumia....bdala ya 20 atume 10 kila baada ya siku 2 na cku nyingne akae kimya...!!

Akafuata ushauri....Mbona mama mkwe alipiga simu kwake kulalamika kuwa hawamuelewi....na mke akarudi....japo tabia ile hjaacha bdo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingne n jamaa yangu anapiga maliasili...!!mshahara mzuri vbaya....sema sasa mke akili hana...!!analeta ndugu wanakaa humo ndan...!!kuna kipind ilibd mpk anunue gari kisa mke alilalamika miguu kumuuma akitembea...!!

Mke hafanyi kazi yyte...!!yupo na ndugu zake..!!na hapo mume ana mitoto ya dada zake imekuj kusoma anailipia ada na kila kitu...!!

Jamaa juzi tu kahamia kupanga jumba kubwa zaidi kwa ajili ya nafasi...!!ana kazi nzuri lkn mpk sasa hata kujenga hajaanza....anaishi kwa kulalamika kila cku majukum yanayomkuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingne n jamaa yangu anapiga maliasili...!!mshahara mzuri vbaya....sema sasa mke akili hana...!!analeta ndugu wanakaa humo ndan...!!kuna kipind ilibd mpk anunue gari kisa mke alilalamika miguu kumuuma akitembea...!!

Mke hafanyi kazi yyte...!!yupo na ndugu zake..!!na hapo mume ana mitoto ya dada zake imekuj kusoma anailipia ada na kila kitu...!!

Jamaa juzi tu kahamia kupanga jumba kubwa zaidi kwa ajili ya nafasi...!!ana kazi nzuri lkn mpk sasa hata kujenga hajaanza....anaishi kwa kulalamika kila cku majukum yanayomkuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Anatakiwa akaze, kila mtu asomeshwe na baba yake...Hio mambo ya misaada ije mwishoni ukishakamilisha ratiba zako. Napendekeza baada ya kumaliza kuwaendeleza watoto wako binafsi.

Hamnaga Anthropist ambaye anaanza kugawa misaada mwanzoni mwa hustle. Unaafanya CSR ukishafanikiwa kwa 100%! Ile surplus ndio unafanya misaada.

Kwa wazee wangu nilichoona baada ya kutusomesha watoto ndio nyumba zikaanza pakwa rangi, fensi zikajengwa, marumaru zikawekwa n.k ila haya yote ni sababu ya kubebeshana mizigo.

Huu muda ndio ulikuwa wa kusaidia wasiojiweza sio kuanza kukarabati nyumba...Imagine
unaishi kwenye gofu for 30 years unarembesha nyumba unaishi 4 years unadanja 🤣🤣🤣
 
Baba mkwe samahani mwanangu shemeji yako mdogo anasumbuliwa na vichomi na kifua kinamsumbua sana yaani anakonda tu,niliongea na baba yake akasema nijitahidi nitafute nauli nimpeleke huko(kwa baba mkwe)maana walishaachana"- akajaribu na mitishamba baba yenu(baba mkwe wangu)amesema hivyo.Nimeparangana kila namna lakini nimeshindwa kabisa naomba unisaidie mwanangu samahani sina namna.

Mimi:Mama ni kama shilingi ngapi inahitajika ya nauli?
Mama mkwe:ni elfu 65,000/= tu hela ya kurudi na wao wataparangana huko nikishafika.

Kumbuka hii ni January mambo mengi wanafunzi, kodi za ofisi na mahitaji ya shule mfukoni nilikuwa na 15,000/=tu kwa ajili ya mboga kifamilia nikajisemea moyoni "angekuwa ni mama yangu mzazi ningemshauri huu mpango austishe ili nimatafutie hela taratibu au anye alternative nyingine, lakini yule ni mkwe pengine ataona nimemyima tu,nikapambana kesho yake nikamuagiza wife akampelekea hiyo hela,leo wiki ya pili mama mkwe yupo tu,na dogo (shemeji yangu)yupo tu anaenda shule kila siku,hazipiti siku mbili kaagizwa dogo kuijia chochote, mara mboga,unga,mkaa
Dada mama anakuita,dada mama anasema hivi.....

Dada mama yule pale amesema uende,
Dada (mke wangu) ameshaanza kuchoka kuna wakati anawajibu vibaya mpaka naona aibu,kila siku wanakuja na shida haziwezi kupita siku mbili mama hajamuita binti yake,(tupo mtaa mmoja)
Asipoenda kwa mama yake asubuhi, basi jioni atasubiri haupo ataenda,asipoenda hiyo siku basi kesho bado mmelala asubuhi asubuhi wadogo zake watagonga mlango wameagizwa na mama.


Nina miezi mitatu tu kwenye ndoa hii mpya lakini nahisi ni kama miaka mitano,kumsaidia mama au ndugu yeyote ni swala lisiloepukika ila kwa upande wangu naona imevuka viwango vya kawaida,hapa sijaoa bali nimeachiwa familia,kwa sasa nina familia mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA UJINGA!!!
UKISIKIA UKUBWA ND'O HUO.

MAMA MKWE NI KAMA MAMA'AKO.

ACHA KULIALIA!!!
TAFUTA HELA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingne n jamaa yangu anapiga maliasili...!!mshahara mzuri vbaya....sema sasa mke akili hana...!!analeta ndugu wanakaa humo ndan...!!kuna kipind ilibd mpk anunue gari kisa mke alilalamika miguu kumuuma akitembea...!!

Mke hafanyi kazi yyte...!!yupo na ndugu zake..!!na hapo mume ana mitoto ya dada zake imekuj kusoma anailipia ada na kila kitu...!!

Jamaa juzi tu kahamia kupanga jumba kubwa zaidi kwa ajili ya nafasi...!!ana kazi nzuri lkn mpk sasa hata kujenga hajaanza....anaishi kwa kulalamika kila cku majukum yanayomkuta

Sent using Jamii Forums mobile app
atakuja kulia huyo ni swala la muda tu, maliasili yenyewe ni tumbua tumbua kila kukicha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko alipata mke mmakonde....yan huyo siku 2 tu kaenda kwa mamake na mtot yupo huko....!!mara utackia wana safari ya mtwara...mara kutembelea ndugu...yn anko alikuwa anatuma elf 20 kila baada ya siku 2

Akaniomba ushaur nkampa makavu kuwa wamemuona boya....so ndo maana wanafanya watakayo

Nkamshauri apunguze kiasi anachowatumia....bdala ya 20 atume 10 kila baada ya siku 2 na cku nyingne akae kimya...!!

Akafuata ushauri....Mbona mama mkwe alipiga simu kwake kulalamika kuwa hawamuelewi....na mke akarudi....japo tabia ile hjaacha bdo



Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingne n jamaa yangu anapiga maliasili...!!mshahara mzuri vbaya....sema sasa mke akili hana...!!analeta ndugu wanakaa humo ndan...!!kuna kipind ilibd mpk anunue gari kisa mke alilalamika miguu kumuuma akitembea...!!

Mke hafanyi kazi yyte...!!yupo na ndugu zake..!!na hapo mume ana mitoto ya dada zake imekuj kusoma anailipia ada na kila kitu...!!

Jamaa juzi tu kahamia kupanga jumba kubwa zaidi kwa ajili ya nafasi...!!ana kazi nzuri lkn mpk sasa hata kujenga hajaanza....anaishi kwa kulalamika kila cku majukum yanayomkuta

Sent using Jamii Forums mobile app
fala sana huyo jamaa,na hapo bado asubiri shukrani ya punda mateke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba mkwe samahani mwanangu shemeji yako mdogo anasumbuliwa na vichomi na kifua kinamsumbua sana yaani anakonda tu,niliongea na baba yake akasema nijitahidi nitafute nauli nimpeleke huko(kwa baba mkwe)maana walishaachana"- akajaribu na mitishamba baba yenu(baba mkwe wangu)amesema hivyo.Nimeparangana kila namna lakini nimeshindwa kabisa naomba unisaidie mwanangu samahani sina namna.

Mimi:Mama ni kama shilingi ngapi inahitajika ya nauli?
Mama mkwe:ni elfu 65,000/= tu hela ya kurudi na wao wataparangana huko nikishafika.

Kumbuka hii ni January mambo mengi wanafunzi, kodi za ofisi na mahitaji ya shule mfukoni nilikuwa na 15,000/=tu kwa ajili ya mboga kifamilia nikajisemea moyoni "angekuwa ni mama yangu mzazi ningemshauri huu mpango austishe ili nimatafutie hela taratibu au anye alternative nyingine, lakini yule ni mkwe pengine ataona nimemyima tu,nikapambana kesho yake nikamuagiza wife akampelekea hiyo hela,leo wiki ya pili mama mkwe yupo tu,na dogo (shemeji yangu)yupo tu anaenda shule kila siku,hazipiti siku mbili kaagizwa dogo kuijia chochote, mara mboga,unga,mkaa
Dada mama anakuita,dada mama anasema hivi.....

Dada mama yule pale amesema uende,
Dada (mke wangu) ameshaanza kuchoka kuna wakati anawajibu vibaya mpaka naona aibu,kila siku wanakuja na shida haziwezi kupita siku mbili mama hajamuita binti yake,(tupo mtaa mmoja)
Asipoenda kwa mama yake asubuhi, basi jioni atasubiri haupo ataenda,asipoenda hiyo siku basi kesho bado mmelala asubuhi asubuhi wadogo zake watagonga mlango wameagizwa na mama.


Nina miezi mitatu tu kwenye ndoa hii mpya lakini nahisi ni kama miaka mitano,kumsaidia mama au ndugu yeyote ni swala lisiloepukika ila kwa upande wangu naona imevuka viwango vya kawaida,hapa sijaoa bali nimeachiwa familia,kwa sasa nina familia mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
tukiwaambia msioe hamtaki kusikia utajaza mwenyewe,yote hayo kisa pussy, pussy yenyewe hupewi kama unavyotaka,unapewa kwa excuses kibao,mara mkeo achoke mara hajisikii mara anune,ila wewe inabidi uwahudumie kila siku bila excuses zozote,utajaza mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata umaskini wa familia zenu binafsi unawafilisi; baba, mama, kaka/dada na watoto wao; mjomba/shangazi na watoto wao etc; wote wanakutolea macho wewe. Wengine mna nyota tu za umaskini
jiwe gizani mtu analia yalaaaa, mwanaume akuhudumie wewe,mama ako,baba ako + mashemeji kwa kitu gani umachompa pussy au, pussy yenyewe excuses kibao,mara umechoka,mara hujisikii,halafu kimwanamke kama hicho kinakuwa kinakubana hakitaki uchepuke,kwa namna hii mfumo dume utawatesa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom