Ukitaka kufanya biashara epuka kuomba ushauri toka kwa watu wanaokufahamu

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,638
Katika makosa makubwa unaweza kufanya kama binadamu ni kuomba ushauli wa kibiashara unayotaka kuifanya toka kwa watu wana kufahamu iwee ndugu au marafiki wa karibu

Never and ever usije ukajaribu kuomba ushauli kuwambia wazo lako la biashara kwani huwa na majibu ya kukuvunja moyo kama yafuatayo

1. Hiyo biashara hailipi kabisa utapoteza hela yako bure

2. Wengine ivi kusoma kote unataka kufanya biashara hii

3. Wengine watakwambia hiyo hela ni bora unywe bia huko unaenda kuipotezaa

4. Wengine watakwambia hiyo biashara bora uachane nayo siku hizi haina wateja

5. Wengine watakwambia hiyo biashara siku hizi mbona imeshapitwa na wakati

Kama una la kuongezea tupia Neno ulilowahi kuvunjwa moyo
 
Katika makosa makubwa unaweza kufanya kama binadamu ni kuomba ushauli wa kibiashara unayotaka kuifanya toka kwa watu wana kufahamu iwee ndugu au marafiki wa karibu

Never and ever usije ukajaribu kuomba ushauli kuwambia wazo lako la biashara kwani huwa na majibu ya kukuvunja moyo kama yafuatayo

1.Hiyo biashara hailipi kabisa utapoteza hela yako bure

2.wengine ivi kusoma kote unataka kufanya biashara hii

3.wengine watakwambia hiyo hela ni bora unywe bia huko unaenda kuipotezaa

4.wengine watakwambia hiyo biashara bora uachane nayo siku hizi haina wateja

5.wengine watakwambia hiyo biashara siku hizi mbona imeshapitwa na wakati

Kama una la kuongezea tupia Neno ulilowahi kuvunjwa moyo
Unafikiri unawaomba???!! Wao wenyewe wanakuja kukushauri. Huwezi kuwakataza of course. Pokea wakuambiavyo then tumia ubongo wako. Period.
 
Katika makosa makubwa unaweza kufanya kama binadamu ni kuomba ushauli wa kibiashara unayotaka kuifanya toka kwa watu wana kufahamu iwee ndugu au marafiki wa karibu

Never and ever usije ukajaribu kuomba ushauli kuwambia wazo lako la biashara kwani huwa na majibu ya kukuvunja moyo kama yafuatayo

1.Hiyo biashara hailipi kabisa utapoteza hela yako bure

2.wengine ivi kusoma kote unataka kufanya biashara hii

3.wengine watakwambia hiyo hela ni bora unywe bia huko unaenda kuipotezaa

4.wengine watakwambia hiyo biashara bora uachane nayo siku hizi haina wateja

5.wengine watakwambia hiyo biashara siku hizi mbona imeshapitwa na wakati

Kama una la kuongezea tupia Neno ulilowahi kuvunjwa moyo
Nimewahi kuishi kijiji fulani hapa Tanzania kwa miaka 2 sasa katika kuwaza nifanye nini niliona nifanye biashara ya Welding kutumia gas kwakuwa kipindi hicho hakukuwa na umeme na hakuna aliyekuwa anafanya kazi hiyo.
Baada ya kumueleza jamaa mmoja hivi aliponda sana hiyo kitu kwakuwa hakuna biashara kwakuwa huku vyakuchomelea hakuna.
Baada ya wiki tatu yule jamaa alishusha mitungi na kuanza kufanya kazi baada ya kupata kijana.
Sema sikukaa sana kwakuwa baada ya miezi miwili niliondoka baada ya setup zangu kwenda vizuri na sijawahi kurudi tena.
 
Nimewahi kuishi kijiji fulani hapa Tanzania kwa miaka 2 sasa katika kuwaza nifanye nini niliona nifanye biashara ya Welding kutumia gas kwakuwa kipindi hicho hakukuwa na umeme na hakuna aliyekuwa anafanya kazi hiyo.
Baada ya kumueleza jamaa mmoja hivi aliponda sana hiyo kitu kwakuwa hakuna biashara kwakuwa huku vyakuchomelea hakuna.
Baada ya wiki tatu yule jamaa alishusha mitungi na kuanza kufanya kazi baada ya kupata kijana.
Sema sikukaa sana kwakuwa baada ya miezi miwili niliondoka baada ya setup zangu kwenda vizuri na sijawahi kurudi tena.
Basi wewe siyo mwerevu au niseme huna kipaji cha biashara. Watu wenye vipaji vya biashara hubuni kitu cha kufanya, hufanya research ya kina na mwisho kuanza kutekeleza. Hata hapa JF ukiona mtu anaanzisha thread na kusema eti anataka kuanzisha biashara fulani ila hajui ABC zake hivyo anaomba ushauri basi ujue kwa asilimia kubwa hatafanikiwa kwenye ile biashara kama atanazisha.
 
Sio biashara pekee, bali chochote unacho omba ushauri hakikisha unachanganya na zakwako
 
Basi wewe siyo mwerevu au niseme huna kipaji cha biashara. Watu wenye vipaji vya biashara hubuni kitu cha kufanya, hufanya research ya kina na mwisho kuanza kutekeleza. Hata hapa JF ukiona mtu anaanzisha thread na kusema eti anataka kuanzisha biashara fulani ila hajui ABC zake hivyo anaomba ushauri basi ujue kwa asilimia kubwa hatafanikiwa kwenye ile biashara kama atanazisha.
Nikweli sina kipaji cha Biashara. Ukiona kila ukitaka kuanzisha biashara unawaza tu hasara basi ujue huna kipaji, nami ndivyo nilivyo.
 
Ni kweli mkuu... Cha msingi kabla hujaomba ushauri kwa mtu yeyeto kuhusu wazo la biashara...fanya kwanza utafiti wako binafsi wa aina za biashara unazo penda kufanya....hasa kujua Kama kuna wateja wa kutosha....baadae Sasa ndio utafute ushauri.
 
Back
Top Bottom