jovin607
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 469
- 310
Huwezi kufanya biashara ya usafirishaji wa abiria au mizigo kama hauna uzoefu nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dem mmoja aliniingia hivyo hivyo nijiingize kwenye hiyo biashara ya kupata milioni ndani ya sec 30 baada ya kumsanukia akaniblock kwenye WhatsAppHebu nawe wacha mambo ya kujisifa bila ya ushahidi wowote, tuonyeshe ni vipi umekuwa ukitengeneza hizo milioni in 30 seconds na pia itakuwa vizuri zaidi ukitueleza, kama unatengeneza helo sote hizo kwa second 30, ni kwa nini hadi sasa hajulikani kuwa miongoni mwa matajiri wakubwa nchi?
anakabiziJamani kwa wale wamiliki wa daladala walio mwanza. Kwa siku dereva anakabizi shingapi?
Namaanisha anapeleka kiasi cha shingapi kwa bosi wake ?Anakabidhi!
Ila si umenielewa namaanisha nini mkuu?Rekebisha hapo nakabizi afu ndio ujibiwe
Uzoef unaupataje na utaupata lini?Huwezi kufanya biashara ya usafirishaji wa abiria au mizigo kama hauna uzoefu nayo
Sent using Jamii Forums mobile app