Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,261
- 31,378
Mkuu umetishaje sasa.. misifa mwenzie ujingaHapo kwenye red............. nakubaliana na wewe ni kweli kuwa mfanyakazi ofisini lets say PPF tower ndo ofisi yake............AKANUNUE GUTA............HATAKUBALI SIMPLY BECAUSE GUTA NA PPF TOWER ''WHERE AND WHERE'' I mean wapi na wapi...???
Lakini tunasahahu yafuatayo....
1. hata kama kama guta litagongwa leo to right off, hiyo laki tano uliyoitumia kununua guta haitakuuma sana kama 10M za hicho kikorola ulichokinunua showroom ya used vehicles
2. spea za guta bei rahisi sana ukilinganisha na za korola
3. kuirudisha hiyo 10M kwa 10,000/= ya kila siku ya teksi takes longer than laki tano kwa 15,000/=
4. Ukiona simu yako inapigiwa na ya dereva wa guta yako presure remains the same, lakini simu ya kutoka kwenye kikorola chako ina uwezo wa kukuharibia siku.
5. Guta haina traffic police, kikorola traffic nje nje
6. Guta haina kulipa kodi, bima, manispaa, etc.............hivyo hiyo 15,000/= inakuwa yako peke yako lakini ile 10,000/= ya teksi juwa kuwa unagawana na TRA, MANISPAA, BIMA...............kwa hiyo effectively hupati 10,000/= but may be 6,000/= ambayo italiwa na service ya gari na kulipia presure zote za simu ya dereva wako.....................
JAMANI SIFA NDO ZINAZOTUUWA.......... STUKENI...........SIFA HAZIKUBALIKI