lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Kwa sasa tunakaribia uchaguzi. Mbinu ya kupata fedha kirahisi kama wewe ni mwanasiasa ni rahisi sana.
1. Tangaza nia kwamba unataka kugombea jimbo fulani na hakikisha unawaambia kwa kuwatuma marafiki zake na mheshimiwa mbunge kwamba nia unayo na support ni kubwa .
2. Hakikisha unajua udhaifu wa huyo mtangulizi kwa kuzitaja dhahili
3. Tambua mbinu zake kwamba watu wamemchoka kwelikweli wanataka mabadiliko
4. Waambie nipo hapo kwasababu nimeagizwa na aliyejuu kwamba nigombee hilo jimbo maana wewe huna tija. Kama yule wa tandahimba
5. Jipitishe jimboni mara kwa mara na ukitoa ahadi kedekede na kumkandia jamaa
6. Jamaa atataka kukutafuta ili akuzimishe sasa wewe mwambie huwezi onana kifala ila mrushie account aweke hela alafu achana na hilo jimbo nenda la jirani au msuke mwingine.
Ila cheza kwa akili.
Wabunge wamepaniki lazima kiinua miguu tugawane
1. Tangaza nia kwamba unataka kugombea jimbo fulani na hakikisha unawaambia kwa kuwatuma marafiki zake na mheshimiwa mbunge kwamba nia unayo na support ni kubwa .
2. Hakikisha unajua udhaifu wa huyo mtangulizi kwa kuzitaja dhahili
3. Tambua mbinu zake kwamba watu wamemchoka kwelikweli wanataka mabadiliko
4. Waambie nipo hapo kwasababu nimeagizwa na aliyejuu kwamba nigombee hilo jimbo maana wewe huna tija. Kama yule wa tandahimba
5. Jipitishe jimboni mara kwa mara na ukitoa ahadi kedekede na kumkandia jamaa
6. Jamaa atataka kukutafuta ili akuzimishe sasa wewe mwambie huwezi onana kifala ila mrushie account aweke hela alafu achana na hilo jimbo nenda la jirani au msuke mwingine.
Ila cheza kwa akili.
Wabunge wamepaniki lazima kiinua miguu tugawane