Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Hapo ndio siri ilipo ndugu zangu yaani ukitaka mapenzi yale yenyewe yaani mtoto wa kike anachanganyikiwa. Hakikisha uko 30s, vihela vidogo vidogo si shida halafu date hivyo vitoto yaani 20-23. Usicheze nje ya hapo.
Why
Sababu vitoto vingi umri huu vinakua vipo chuo vinasoma na vinakua vingi ndio vimeanza mahusiano wengi ndio mahusiano yao ya kwanza au pili, so wengi huwa wana mapenzi yakweli yale yaliyopitiliza yaani yale ya kukuonea wivu, kukupigia simu kila wakati etc etc
Angalizo (lazima uwe na vijihela ndugu). Ukiwa choka mbaya ndugu tusijelaumiana maana itakua oposite. Experience imenithibitishia hili.
Kuna katoto naenda nako mwezi wa 3 huu bado sijakagusa lakini aisee ni kama kamechanganyikiwa yaani, si ka1 tu kuna kengne pia. Ila uzuri wake naviheshimu sjavilala bado. Ooh pia namweshimu dada yao ambae niko naye kwasasa ila sasa kwa speed yao nahisi lolote laweza tokea. Tusilaumiane.
Niko mkoa kikazi. Raha sana maana field work naweza ingia muda naotaka mimi, hapa najishauri niende au nisiende ila Dodoma kubaya jamani
Why
Sababu vitoto vingi umri huu vinakua vipo chuo vinasoma na vinakua vingi ndio vimeanza mahusiano wengi ndio mahusiano yao ya kwanza au pili, so wengi huwa wana mapenzi yakweli yale yaliyopitiliza yaani yale ya kukuonea wivu, kukupigia simu kila wakati etc etc
Angalizo (lazima uwe na vijihela ndugu). Ukiwa choka mbaya ndugu tusijelaumiana maana itakua oposite. Experience imenithibitishia hili.
Kuna katoto naenda nako mwezi wa 3 huu bado sijakagusa lakini aisee ni kama kamechanganyikiwa yaani, si ka1 tu kuna kengne pia. Ila uzuri wake naviheshimu sjavilala bado. Ooh pia namweshimu dada yao ambae niko naye kwasasa ila sasa kwa speed yao nahisi lolote laweza tokea. Tusilaumiane.
Niko mkoa kikazi. Raha sana maana field work naweza ingia muda naotaka mimi, hapa najishauri niende au nisiende ila Dodoma kubaya jamani