Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
- Thread starter
- #21
Makene Bilali ni Baba yako au Babu yako,sasa serengeti si alienda kutalii unakataa nini,na USA si alenda kwani uwongo????mimi si mzanzibar na sipajui huko lakini alienda,kwan jk alipobembea jamaika watz tulisemaje??na tunasemaje????hadi sasa hapa jf anaitwa mtalii,
Dr. Bilal kazi ya awali baada ya kuapishwa ilikuwa ni kutalii Mbuga za Serengeti kuumiza walipa kodi, maana alikuwa na wake zake watatu na kundi kubwa la wana Usalama yote hiyo ni ponda kodi; Dr. Bilal alijenga matumaini makubwa juu yake na watu walitegemea kuona changes akipata nafasi kubwa Serikalini yupo wapi ana lala wapi leo nafasi kapata, kama hawataki tusimwite Mnafki na mtu wa hila basi wamuamshe tuone yale makeke yake.