GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,671
Nilikuwa mpambe wa bw. Harusi, Tulienda kijiji fulani ( ..) Baada ya kukamilika taratibu
zote ukafika muda wa unyumba ambao bwana Harusi alitakiwa kukutana na mkewe
Kwanza kikatandikwa kitambaa cheupe na mabibi pale kitandani, baada ya hapo akaitwa
mpambe wa Bi Harusi eti nae awepo wakati wa uzinduzi.
Kilichonichosha na kunishangaza zaidi ni kuwa kama binti ni bikra bwana Harusi akishaiondoa
tu hatakiwi kuendelea kwa muda mrefu badala yake atamalizia kwa mpambe wa bibi Harusi
Bila kujali ni mke wa mtu au la!
Nilipojaribu kuhoji nikaambiwa hii ni mila ya watu hao ilikuwepo toka zamani ni siku hizi tu ndo
inapuuzwa.
Umeshawahi kusikia mila kama hizi katika ndoa?
zote ukafika muda wa unyumba ambao bwana Harusi alitakiwa kukutana na mkewe
Kwanza kikatandikwa kitambaa cheupe na mabibi pale kitandani, baada ya hapo akaitwa
mpambe wa Bi Harusi eti nae awepo wakati wa uzinduzi.
Kilichonichosha na kunishangaza zaidi ni kuwa kama binti ni bikra bwana Harusi akishaiondoa
tu hatakiwi kuendelea kwa muda mrefu badala yake atamalizia kwa mpambe wa bibi Harusi
Bila kujali ni mke wa mtu au la!
Nilipojaribu kuhoji nikaambiwa hii ni mila ya watu hao ilikuwepo toka zamani ni siku hizi tu ndo
inapuuzwa.
Umeshawahi kusikia mila kama hizi katika ndoa?