Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
- Thread starter
- #21
Wewe na wao hakuna tofauti, ilitakiwa kwanza ukemee nafsi yako kabla ya kuanza kushangaa ya wenzako
Kama mlichunguliana bila zana, wahi kwa Babu Ambi ukapate KIKOMBE
Mkuu nalifahamu ilo ila nimeuliza kama kuna uhalali wa kuvaa haya mavazi wakati mnaenda kuzini??