Ukistaajabu ya MAFATAKI utayaona ya Viongozi wa dini.

Wewe na wao hakuna tofauti, ilitakiwa kwanza ukemee nafsi yako kabla ya kuanza kushangaa ya wenzako

Kama mlichunguliana bila zana, wahi kwa Babu Ambi ukapate KIKOMBE

Mkuu nalifahamu ilo ila nimeuliza kama kuna uhalali wa kuvaa haya mavazi wakati mnaenda kuzini??
 
Yaani unaenda nyumba ya wageni, badala ya kufanya kilchokupeleka (kuchunguliana kama ulivyoainisha), waanza kupiga chabo wenzio!! Vipi ulikuwa unatafuta stimu nini? Au ile kuchungulia tu ukakutana na................!!! Tehe tehe tehe!

Mkuu, Mambo ya kuvuta stimu hayo na kumbuka macho hayana pazia.
 
Hahahaaaaaa, mPwa, Siku hizi hawa ni wakubwa wenzetu bana...ahaya tuambie kwa hio wewe nawe ulikua na kibibi kizee chako?? MMmh lakini sasa mpwa, ulijuaje kama kile kitoto kilikua kidato cha pili? au kilikuwa mali yako kabla?? haya karibu kitimoto kidogo hapa

Mkuu, Nilikuwa na Bibi kizee changu ambacho tulitengana kama miaka 15 iliyopita so tulikuwa tunajikumbushia enzi zetu zileeeeeee za ujanani.
 
Ondoa boriti jichoni mwaka ndipo uone kibanzi kwa wenzio!

SHAME ON YOU

Mkuu mbona una hasira hivyo au ni wewe ni jirani yangu yule ulieopoa kitoto cha kidato cha pili? Hebu nambie umejuaje kama nipo JF na pia natumia username hii.

Heshima mbele!!!
 
We umeenda na mamaa wako...unajuaje kwamba na yeye hakua na mamaa wake?Alafu kwanini mavazi yawe hoja hapa?We suruale unayovaa msikitini/kanisani huendi nayo huko nyumba ya wageni?

Hahahahah Lizzy baada ya wewe kunikataa kwa lile ombi langu nkaona ni bora nimrudie mamaa wa kitambo kwahiyo kabla ya kumpeleka nyumbani tuliona ni bora tuende sehemu ambayo tunaweza kupata huduma bila usumbufu.
 
Hujasema huyo mamaa wako yupo kidato gani maaana angekuwa na umri wa kutosha mngeshaoana na kama sivyo basi nae yupo kidato cha 1 ama 2. Kwani uliambiwa Kanzu ni vazi la msikitini??Sio kila kanzu uionayo wadahani ni ya ibaaada.We ulikuwa umeshindwa kazi kuchungulia wapita njia,kwani ulienda huko kuangalia nani anaingia na nani??
 
Heshima wakuu wa MMU.

Jana nilienda na mamaa Nyumba ya wageni kuchunguliana vile vilivyotufanya tuwepo hapa Duniani. Wakati tunafanya maandalizi ya hapa na pale ghafla akiri yangu ikanituma niangalie nje kwa kupitia dirishani.
Nilichokiona sikuamini macho yangu hata kidogo kumuona jirani yangu akija na kitoto cha kidato cha pili pale nyumba ya wageni na yeye ana zaidi ya miaka 45, Wakati natafakari kama nimpigie simu kumuonya kuwa sijapenda hiyo tabia yake nikaona kitu kingine ambacho kimenifanya niilete hii mada humu Jamvini, Nilimuona Ustadhi kavaa mavazi ambayo mara kwa mara huvaa MSIKITINI au kwenye MIHADHARA kaongozana na kibinti kidogo ambacho nacho kimevaa USHUNGI wanaingia nyumba ya wageni kuchunguliana.

Swali kwa wana-Jamvi hivi vitu wewe umewahi kuvishuhudia?
Je ni halali kuvaa USHUNGI au ROZALI muendapo ku-do??


WEEKEND NJEMA WANA-MMU.
7

Wewe mwenyewe fataki. Hujo nyumba ya wageni ulikuwa huko na mkeo? Au kwa kuwa wewe ulikuwa na mkubwa mwenzio, au kwa kuwa wewe sio ustaadhi au kiongozi wa dini basi unadhani wao tu ndio wamekosea? Inachekesha sana kuona kuwa umeconclude kuwa jirani yako na hako katoto, ustaadhi na huyo binti walikuwa wanaenda kuchunguliana. Unajua uhusiano wa ustaadhi na binti? Kwani guest house ni sehemu ya ufuska tu? _Kwa watu kama wewe ndivyo ilivyo. Lkn kama ustaadhi alikuwa anatafuta accommodation yao je utajulia wapi?

Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzio.
 
Macho hayana pazia, Si unajua mambo ya kuvutia stimu!!!!
Unavuta hisia na wapita njia? nachukia mtu ukifika hotel hata kama ni mkoani unakuta mtu anachungulia gari inayopaki inahusu nini wewe jitume umalize uondoke
 
7

Wewe mwenyewe fataki. Hujo nyumba ya wageni ulikuwa huko na mkeo? Au kwa kuwa wewe ulikuwa na mkubwa mwenzio, au kwa kuwa wewe sio ustaadhi au kiongozi wa dini basi unadhani wao tu ndio wamekosea? Inachekesha sana kuona kuwa umeconclude kuwa jirani yako na hako katoto, ustaadhi na huyo binti walikuwa wanaenda kuchunguliana. Unajua uhusiano wa ustaadhi na binti? Kwani guest house ni sehemu ya ufuska tu? _Kwa watu kama wewe ndivyo ilivyo. Lkn kama ustaadhi alikuwa anatafuta accommodation yao je utajulia wapi?

Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzio.

Mkuu umesoma saikologia???? Mkuu accomodation na mtoto?? Nitake radhi mkuu au ni wewe na wewe una katabia ka-ufataki-fataki???



HESHIMA MBELE
 
Unavuta hisia na wapita njia? nachukia mtu ukifika hotel hata kama ni mkoani unakuta mtu anachungulia gari inayopaki inahusu nini wewe jitume umalize uondoke

Kumbuka macho hayana Pazia na kuangalia Nje hakuna makosa, au wewe uwa unamwekea sheria mkeo/mumeo asiangalie nje mnapokuwa faragha??
 
Kilichokustua hapo ni nini wakati walichoenda kukifanya ndicho hicho hicho ulichoenda kukifanya!!
Au ndio mambo ya kunya anye kuku...?!!
Tena nawapongeza hao waliovaa kiheshma.
 
...e bana wee, hii mada nzuri kujadiliwa ila umeharibu mwishoni.
Dhambi haijali kiongozi wa dini au mavazi ya Ibada.

...By the way, si kila aingiae nyumba ya wageni anakwenda kuibanjua amri ya sita.
Otherwise, kusingekuwa na haja ya wamiliki wa nyumba hizo kuweka biblia kila chumba.


Hahaha usinichekeshe. Kwa hiyo anaenda kumfundisha neno nyumba ya wageni?
 
Back
Top Bottom