Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Heshima wakuu wa MMU.
Jana nilienda na mamaa Nyumba ya wageni kuchunguliana vile vilivyotufanya tuwepo hapa Duniani. Wakati tunafanya maandalizi ya hapa na pale ghafla akiri yangu ikanituma niangalie nje kwa kupitia dirishani.
Nilichokiona sikuamini macho yangu hata kidogo kumuona jirani yangu akija na kitoto cha kidato cha pili pale nyumba ya wageni na yeye ana zaidi ya miaka 45, Wakati natafakari kama nimpigie simu kumuonya kuwa sijapenda hiyo tabia yake nikaona kitu kingine ambacho kimenifanya niilete hii mada humu Jamvini, Nilimuona Ustadhi kavaa mavazi ambayo mara kwa mara huvaa MSIKITINI au kwenye MIHADHARA kaongozana na kibinti kidogo ambacho nacho kimevaa USHUNGI wanaingia nyumba ya wageni kuchunguliana.
Swali kwa wana-Jamvi hivi vitu wewe umewahi kuvishuhudia?
Je ni halali kuvaa USHUNGI au ROZALI muendapo ku-do??
Jana nilienda na mamaa Nyumba ya wageni kuchunguliana vile vilivyotufanya tuwepo hapa Duniani. Wakati tunafanya maandalizi ya hapa na pale ghafla akiri yangu ikanituma niangalie nje kwa kupitia dirishani.
Nilichokiona sikuamini macho yangu hata kidogo kumuona jirani yangu akija na kitoto cha kidato cha pili pale nyumba ya wageni na yeye ana zaidi ya miaka 45, Wakati natafakari kama nimpigie simu kumuonya kuwa sijapenda hiyo tabia yake nikaona kitu kingine ambacho kimenifanya niilete hii mada humu Jamvini, Nilimuona Ustadhi kavaa mavazi ambayo mara kwa mara huvaa MSIKITINI au kwenye MIHADHARA kaongozana na kibinti kidogo ambacho nacho kimevaa USHUNGI wanaingia nyumba ya wageni kuchunguliana.
Swali kwa wana-Jamvi hivi vitu wewe umewahi kuvishuhudia?
Je ni halali kuvaa USHUNGI au ROZALI muendapo ku-do??
WEEKEND NJEMA WANA-MMU.