MWILI NYUMBA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 817
- 255
Nimeshtushwa sana na habari hii wakati naperuzi kurasa za BBC. Amakweli dunia inaelekea mwisho sasa.
Hivi karibuni kumezuka tabia ya kufukua maiti na kukata vichwa vyao na sehemu nyingine za mwili kwaajili ya mambo ya kishirikina ikiaminika kuwa hutumika kwaajiri ya kusafishia nyota (kwa wafuasi wa dini ya Voodoo wanaokadiriwa kufika 40% ya population ya Benin).Hivi karibu katika jiji la Port-novo (mji mkuu wa Benin) makaburi yanayokadiriwa kufika 100 yamekumbwa na unyama huu.
Kwa undani zaidi waweza fuata link hii ya BBC " http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-20550303"
Hivi karibuni kumezuka tabia ya kufukua maiti na kukata vichwa vyao na sehemu nyingine za mwili kwaajili ya mambo ya kishirikina ikiaminika kuwa hutumika kwaajiri ya kusafishia nyota (kwa wafuasi wa dini ya Voodoo wanaokadiriwa kufika 40% ya population ya Benin).Hivi karibu katika jiji la Port-novo (mji mkuu wa Benin) makaburi yanayokadiriwa kufika 100 yamekumbwa na unyama huu.
Kwa undani zaidi waweza fuata link hii ya BBC " http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-20550303"