Ukistaajabu ya Edward Lowassa utayaona ya Aman A. Karume

Sokomoko

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,915
127
Habari za Jioni wana JF.

Nipo kisiwani unguja moja katika vile visiwa vikuu viwili vya unguja na pemba vyenye kunukia marashi ya karafuu..

Natembea nakuangalia madhari nzuri ya nji mkongwe niliwa kwenye gari na waenyeji wangu tunapita kwenye majumba ya michenzani. Namuuliza mwenyeji wangu Karume jr amemalizia yale majengo aliyoyawacha babayake? ananimbiandio ukiyaangalia yanavutia sana lakini kwa sauti ya kukazia mwenyeji wangu ananiambia hayo majumba zimeliwa pesa nyingi sana... enhh ananiambia nyumba hizo zilikuwa zimalizike kwa pesa kutoka uchina na china walitoa hizo pesa na mhe karume amechota pia pesa zssf (nssf kwa bara) na matofali yaliyojengewa hizo nyumba yameuzwa na mama fatma karume! na na na vibarua wa ujenzi walikuwa wafungwa!

Naachamdomo wazi natafakari kisha jamaa anazidi kuniambia kuwa hii familia imegeuza hii zanzibar kama shamba la baba yao na sie tuliomo humu ndani kama vibarua wao maana wamejilimbikizia mali kisawasawa beach nzuri nzuri zote zinamilikiwa nawao wamenunua na nyingine wamedhulumu! na zile nyumba za michenzani mpya ile milango ya maduka yote ni ya first lady mama shadya karume! na mama yake mhe karume amevuka kutoka unguja mpaka pemba pale pemba micheweni karibu na kituo cha polisi kazuia eneo kubwa sana katia fensi analima mtama na kwa taarifa tu kicho kilimo cha mtama sio nia ni beach plots zilizopo nyuma ya hilo shamba la mtama.

Mastaajabu navuta pumzi namfikiria Lowassa na moyoni nasema kina Lowassa wapo wengi na hatuwawezi! Namuuliza mwenyeji wangu kuhusu hali ya kisiasa ananiambia ni mbaya sana na kuning'ata sikio kuwa ilipokuwa ikijadiliwa hoja ya serikali ya mseto nusu mkutano uvunjike maana mhe karume alisema kama ndio hivyo basi na muungano basi! jamaa akaniambia huyu hawezi kukubali mwafaka maana wamejilimbikizia sana mali wakikubali mseto "they will not be secured" na wanajitahidi kuunyanyasa upande wa pili wa zanzibar (pemba) pemba kukaa siku 2, 2 wiki au wiki mbili bila ya umeme ni jambo la kawaida pemba ni jela ndogo. Pemba hakuna kitu pemba kuna njaa! Serikali wanawafanyia wapemba u janjaweed wa kiana yake. Kufa hufi cha moto unakiona!

Jamani haya ndio niliyoyapata hapa visiwaniwale wanaJF mnaotoka Zanzibar tupeni in detail.

Maasalam.
Sokomoko safarini Zanzibar.
 
kazi kweli kweli..nilikuwa zbar mweek 3 zilizopita nimeyaona yote yanayosemwa ila sijui ukweli wake ila lisemwalo......na mpangilio wa matukio yote ni sawa...
 
Habari za Jioni wana JF.

Nipo kisiwani unguja moja katika vile visiwa vikuu viwili vya unguja na pemba vyenye kunukia marashi ya karafuu..

Natembea nakuangalia madhari nzuri ya nji mkongwe niliwa kwenye gari na waenyeji wangu tunapita kwenye majumba ya michenzani. Namuuliza mwenyeji wangu Karume jr amemalizia yale majengo aliyoyawacha babayake? ananimbiandio ukiyaangalia yanavutia sana lakini kwa sauti ya kukazia mwenyeji wangu ananiambia hayo majumba zimeliwa pesa nyingi sana... enhh ananiambia nyumba hizo zilikuwa zimalizike kwa pesa kutoka uchina na china walitoa hizo pesa na mhe karume amechota pia pesa zssf (nssf kwa bara) na matofali yaliyojengewa hizo nyumba yameuzwa na mama fatma karume! na na na vibarua wa ujenzi walikuwa wafungwa!

Naachamdomo wazi natafakari kisha jamaa anazidi kuniambia kuwa hii familia imegeuza hii zanzibar kama shamba la baba yao na sie tuliomo humu ndani kama vibarua wao maana wamejilimbikizia mali kisawasawa beach nzuri nzuri zote zinamilikiwa nawao wamenunua na nyingine wamedhulumu! na zile nyumba za michenzani mpya ile milango ya maduka yote ni ya first lady mama shadya karume! na mama yake mhe karume amevuka kutoka unguja mpaka pemba pale pemba micheweni karibu na kituo cha polisi kazuia eneo kubwa sana katia fensi analima mtama na kwa taarifa tu kicho kilimo cha mtama sio nia ni beach plots zilizopo nyuma ya hilo shamba la mtama.

Mastaajabu navuta pumzi namfikiria Lowassa na moyoni nasema kina Lowassa wapo wengi na hatuwawezi! Namuuliza mwenyeji wangu kuhusu hali ya kisiasa ananiambia ni mbaya sana na kuning'ata sikio kuwa ilipokuwa ikijadiliwa hoja ya serikali ya mseto nusu mkutano uvunjike maana mhe karume alisema kama ndio hivyo basi na muungano basi! jamaa akaniambia huyu hawezi kukubali mwafaka maana wamejilimbikizia sana mali wakikubali mseto "they will not be secured" na wanajitahidi kuunyanyasa upande wa pili wa zanzibar (pemba) pemba kukaa siku 2, 2 wiki au wiki mbili bila ya umeme ni jambo la kawaida pemba ni jela ndogo. Pemba hakuna kitu pemba kuna njaa! Serikali wanawafanyia wapemba u janjaweed wa kiana yake. Kufa hufi cha moto unakiona!

Jamani haya ndio niliyoyapata hapa visiwaniwale wanaJF mnaotoka Zanzibar tupeni in detail.

Maasalam.
Sokomoko safarini Zanzibar.


then mkiitwa WAANDISHI MAKANJANJA,mnasema ohhh JK anawatusi.
 
Sasa Engineer Mohd,

Jamaa kaambiwa naye ka share, wewe ulitaka nini? yeye ameripoti alichoambiwa. Inawezekana kuna ukweli au uongo ndani mwake. Ndio maana kaomba apewe details kwa wanaojua ukweli hasa..

Kati yako na sokomoko naona wewe ndie umetoka nje ya mistari na sio jamaa.
 
Sasa Engineer Mohd,

Jamaa kaambiwa naye ka share, wewe ulitaka nini? yeye ameripoti alichoambiwa. Inawezekana kuna ukweli au uongo ndani mwake. Ndio maana kaomba apewe details kwa wanaojua ukweli hasa..

Kati yako na sokomoko naona wewe ndie umetoka nje ya mistari na sio jamaa.

Ah huyo jamaa hafai hata kupewa huo ukweli. Yeye alikuwa huko huko kwa nini kakubali kupita Michenzani tu. Asitake kupitishwa sehemu nyengine pia za Zanzibar Mjini na hata vijijini?. Kwa nini kataka kujua habari za Micheweni tu na shamba la Mama Karume, hakudadisi na mabonde ya mpunga huko Pemba ambako Mheshimiwa Shein hivi karibuni alianzisha kilimo cha umwagiliaji. Kwa nini kasikiliza story za Familia ya Karume tu kuwekeza katika Miradi ya Utalii, asitake kujua nini kinaendelea katika kuendeleza sekta hiyo ambayo imepata mafanikio makubwa kwa kiasi fulani? Kama huo si Ukanjanja ni nini? Anataka nini sasa kwa wana JF walioko Zanzibar wakati mwenyewe alikuwepo huko "physicaly". Unataka hao wana JF washirikiane naye kkatika ukanjanja? Acha usanii Bwana.
 
Hizi story za kila siku maana viongozi wetu wote ni wabadhilifu kila unayemuongelea lazima ana skendo yake.
 
Ah huyo jamaa hafai hata kupewa huo ukweli. Yeye alikuwa huko huko kwa nini kakubali kupita Michenzani tu. Asitake kupitishwa sehemu nyengine pia za Zanzibar Mjini na hata vijijini?. Kwa nini kataka kujua habari za Micheweni tu na shamba la Mama Karume, hakudadisi na mabonde ya mpunga huko Pemba ambako Mheshimiwa Shein hivi karibuni alianzisha kilimo cha umwagiliaji. Kwa nini kasikiliza story za Familia ya Karume tu kuwekeza katika Miradi ya Utalii, asitake kujua nini kinaendelea katika kuendeleza sekta hiyo ambayo imepata mafanikio makubwa kwa kiasi fulani? Kama huo si Ukanjanja ni nini? Anataka nini sasa kwa wana JF walioko Zanzibar wakati mwenyewe alikuwepo huko "physicaly". Unataka hao wana JF washirikiane naye kkatika ukanjanja? Acha usanii Bwana.

Kaka vipi kama alikuwa hana muda?, je ni kazi yake kufuatilia?.

Wewe ukimuona mwizi ni kazi yako kupambana naye au unaita POLISI?

Think twice kabla hujamuhukumu mwenzako. Kumbuka wakati wewe unamnyooshea kidole kimoja vinne unajinyooshea wewe.
 
then mkiitwa WAANDISHI MAKANJANJA,mnasema ohhh JK anawatusi.

Ahsante saana eng mohammed sijui wewe ni eng wa nini! maana sidhani kama unahitaji degree kujua pumba na mchele. mie hayo nimeelezewa na watu wenye akili zao na kuheshimika zanzibar naruadia watu wenye akili zao na wenye kuheshimika wamenipa story hizo za Family ya mhe karume kujilimbikizia mali! nicho omba kanjanja mie ni kuwa kama kuna mtu humu JF mwenye kujua mambo haya indetail atuletee ila haya ndio yanayosemwa au wewe eng wa uandishi mpigie simu JAbir Idrissa au Salim Said Salim au Abdallah Saleh maana wewe rank yako kubwa egn bwana! uwaulize kama yasemwayo ni kweli au sio kweli lakini ndio maneno yaliyopo kila baraza ukiuliza unaambiwa hivyo hivyo yaani ni kama nyimbo inayo hit redio station (anita - matonya na jay dee)

Wewe ni mkubwa na akili zako tunachotaka hapa ni kujua ukweli haina haja ya kutukanana na kushushiana hadhi "hoja hujibiwa na hoja" kwahiyo lete hoja yako mfano
1. mhe karume na mkewe wana banda moja la mama ntile na wala sio kila beach wamezuia wao na wao ndio key player kweye mambo ya utalii then unaenda kwa ufafanuzi zaidi.
2. mhe karume ana pick up moja
3. mama yake pale kwenye shamba la mtama ni la shoga yake ameazima alimie tu
3. yale matofari yaliyo kuwa yanadaiwa kuuzwa na mama karume sio kweli ila ameyatoa bure ku push maradi wa marehemu mumewake.
4. wale wanaosemekana walikuwa ni wafungwa sio wafungwa ila ni vibarua sare zao tu ndio zinafanana na wafungwa.

Eng Mohamed unayaweza hayo ila nimekusaidia unavyotakiwa kufanya then ukilipwa nitumie credit na mie nimpigie Jabir Idrissa nimuulize heheheheh hamwachi?

Mwenye details atupe jamani kama zssf zimechotwa ngapi kwenye yale majengo na uchina wametoa ngapi!

Ahsante sana eng sana mohamed
Sokomoko
 
hata sijafahamu hili bandiko lako umekusudia nini,any way ngojea nimalize KUVUTA URADI.

Ukivuta uradi utakuwa humtendei bwana wako aliekutuma kupunguza speed JF maana anakulipa then you have to render the service .
Tunataka mje n a hoja humu msitufanye tutoke nje ya mada kumbuka "hoja hujibiwa kwa hoja"

Sisi ndio CCM mwenyewe utajisikiaje ukijua SOKOMOKO mtu mkubwa ndani ya CCM . Hold on... I am on the phone JK is calling me..
 
sokomoko baada ya kumaliza simu ninaswali
Ninasikia lile nundu la makamba pale usoni kapigwa ngumi na Aman Karumepale butiama?
 
sokomoko baada ya kumaliza simu ninaswali
Ninasikia lile nundu la makamba pale usoni kapigwa ngumi na Aman Karumepale butiama?

Heheheheheheheee kwi kwi wki Mkuu hizo ni nyepesinyepesi wabongo si unawajua kwa kutunga story . ila hiyo unaweza kuijengea hoja wenye ukweli kuhusu hili watuletee maana siku hizi CCM siri zao zinatoka kama kama maji ya BOMBA sijui hata niyafananishe na nini maana dawasco wenyewe maji yao wanayadhibiti hayatoko toki hovyo!
 
Heheheheheheheee kwi kwi wki Mkuu hizo ni nyepesinyepesi wabongo si unawajua kwa kutunga story . ila hiyo unaweza kuijengea hoja wenye ukweli kuhusu hili watuletee maana siku hizi CCM siri zao zinatoka kama kama maji ya BOMBA sijui hata niyafananishe na nini maana dawasco wenyewe maji yao wanayadhibiti hayatoko toki hovyo!

Kwa sababu ya Uhafidhina na umaendeleo na ufisadi ndaniyake si unajua ndugu vurugu zinazotokeaga kisimani?
pitia ze comedy
 
Kwa sababu ya Uhafidhina na umaendeleo na ufisadi ndaniyake si unajua ndugu vurugu zinazotokeaga kisimani?
pitia ze comedy

Poa Mkuu wangu ila mzee si mchezo inabidi na wewe utembelee zenji ujionee yaani kama kajimkoa fulani hivi siri nje nje utaambiwa mambo yanayofanwa na wa kubwa wa kile chama chetu zenye fikra za kudumu mpaka utabaki mdomo wazi!
 
Ingawa wengine wanaweza kukasirika lakini hizi habari si za kustaajabisha kwa kila aliyeko Zanzibar anajua kuwa Mama, mke na mwana wameshamaliza kila kitu Zanzibar si ardhi , si majumba ya mji kongwe na sasa wamehamia Pemba. Lakini kutokana na hali nyengine inayowasumbua wananchi haya hayazungumzwi.

Kwa hivyo hii habari ninaipa zaidi ya asilimia 50 kuwa ni kweli na mnajua kuwa maombi yote ya kutaka kupatiwa nyumba zile hapo zitapomalizika yanaenda kwa Mheshimiwa Karume Jr. waziri anayehusika hana uamuzi wowote?
 
Sifa moja kubwa ya Mhe. A. Karume kabla ya kuwa prez hapo visiwani ni kutochukua mshahara wake akiwa Waziri...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom