Najaribu kujiuliza kwa uchungu mkubwa eti kuna watoto wamefutiwa matokeo ya darasa la saba(7) mwaka huu kwa makosa ya ulaghai yaliyofanywa na wamiliki wa shule zao bila kuwahusisha watoto kwa malengo ya kupata ufauru bora (wa ulaghai) huku upande mwingine wa siasa kuna sarakasi zinafanyika kupitia mfumo kulazimisha (ulaghai) kupatikana wabunge wa viti maalumu kupitia chama kikuu cha upinzani CHADEMA arafu wahusika woote wamaghumashi wakibaki salama.
Hivi kwa ujinga huu unaofanyika nchini hivi hatustahili pigo takatifu kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa ukatili huu tunaowafanyia hawa viumbe wadogo (watoto waliomaliza darasa la 7) kwa kuingizwa kwenye mkenge bila utashi wao huku sisi mizee tukihujumu nchi kwa lengo la kubakia madarakani. Aisee hii inauma saana.
Hivi kwa ujinga huu unaofanyika nchini hivi hatustahili pigo takatifu kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa ukatili huu tunaowafanyia hawa viumbe wadogo (watoto waliomaliza darasa la 7) kwa kuingizwa kwenye mkenge bila utashi wao huku sisi mizee tukihujumu nchi kwa lengo la kubakia madarakani. Aisee hii inauma saana.