Serikali haihusiki na wewe kupelekewa pesa mifuko ya hifadhi ya jamii, mwajiri wako ndio ana jukumu la kukata michango yako na kuipeleka huko.Kama heading inavyojieleza, yaan mtu huyu aliestaafu serikalini, anaweza akawa muajiriwa wa sekta binafsi na serikali ikamtambua na ikaendelea kumuwekea akiba yake kwenye mfuko wa NSSF??
Nawasilisha.
NSSF ni disaster. Chukua mshahara bila makato ya NSSFKama heading inavyojieleza, yaan mtu huyu aliestaafu serikalini, anaweza akawa muajiriwa wa sekta binafsi na serikali ikamtambua na ikaendelea kumuwekea akiba yake kwenye mfuko wa NSSF??
Nawasilisha.
PensionKwani lengo la NSSF Ni Nini hasa?
Tuanzie happy kwanza.